Heche kumuunga mkono Lissu, ampongeza Mbowe kukikuza chama

Mwanza. Uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) unazidi kupamba moto baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, John Heche kuchukua na kurejesha fomu kuwania nafasi ya umakamu mwenyekiti – bara. Heche aliyewahi kuwa mbunge wa Tarime Vijijini amesisitiza kuwa anayeweza kusimamia malengo ya kuanzishwa chama hicho kwa sasa ni…

Read More

NBC yasisitiza dhamira yake kusaidia miradi ya kijamii, Kikwete apongeza

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na serikali katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ile inayohusiana na afya, ikibainisha kuwa hatua hiyo ni chachu muhimu zaidi katika kuchochea kasi ya maendeleo nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Dhamira hiyo ya NBC ilisisitizwa na Mkurugenzi Mtendaji wa…

Read More

Sera ya uchumi wa buluu kutekelezwa kisayansi

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imedhamiria kuitekeleza kisayansi sera ya uchumi wa buluu, hivyo itaweka nguvu katika tafiti za rasilimali za bahari. Dk Mwinyi amesema hayo leo Jumapili, Januari 5, 2025 wakati uwekaji wa jiwe la msingi katika jengo la taaluma na utawala la Taasisi ya Sayansi za Bahari (IMS)…

Read More

Championship ngoma inogile | Mwanaspoti

WAKATI ukibaki mchezo mmoja kuhitimisha mzunguko wa kwanza wa Ligi ya Championship kwa msimu huu wa 2024-25, tayari yapo matukio mengi yaliyojitokeza, kuanzia ushindani kwa timu zenyewe, wachezaji na vioja mbalimbali vilivyojitokeza. Ligi hii ambayo kwa sasa imeendelea kuonyesha ushindani na kuvutia wachezaji wakubwa kuicheza tofauti na ilivyokuwa hapo mwanzoni, Mwanaspoti imefanya tathimini kutokana na…

Read More

WAANDISHI WAPIGWA MSASA KUHUSU MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA

Imeelezwa kuwa Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Noel Kaganda alipokuwa anatoa mada katika semina maalum kwa…

Read More