Rufaa yawapa wanne ahueni ya adhabu

Arusha. Mahakama ya Rufani imempunguzia adhabu Amedeus Kavishe kutoka malipo ya faini ya Sh1.077 bilioni au kifungo cha miaka 20 jela aliyohukumiwa baada ya kutiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali na risasi kinyume cha sheria hadi faini ya Sh27.6 milioni. Mahakama hiyo iliyoketi Moshi imempunguzia adhabu baada ya kumuondolea hatia katika mashtaka mengine…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI YA KWANZA TUMBATU IKIWA NI SHAMRASHAMRA ZA MIAKA 61 YA MAPINDUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika tabasamu wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Zanzibar Mhe. Haji Omar Kheri, wakati akielekea katika eneo la ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Tumbatu, ufunguzi wa Skuli hiyo uliofanyika leo 4-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61…

Read More

Yanga yamshusha staa mpya Kwa Mkapa

YANGA ikiwa inapambana uwanjani leo jioni ikiizamisha TP Mazembe kwea mabao 3-1, jukwaani akaonekana mshambuliaji mpya, Jonathan Ikangalombo, ambaye Mwanaspoti liliwaripotia kwamba yupo hatua ya mwisho kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani. Ikangalombo anyemudu kucheza winga zote mbili anayetokea AS Vita alionekana jukwaa Kuu la VVIP akiwa na maofisa wa Yanga wakithibitisha wazi kwamba yupo…

Read More

Straika Coastal Union atwishwa zigo

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi amesema mshambuliaji mpya wa kikosi hicho raia wa Mali, Amara Bagayoko atakuwa na msimu bora ndani ya timu hiyo kutokana na uwezo alionao, licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza kikosini. Nyota huyo ametambulishwa katika dirisha hili dogo la usajili, japokuwa Mwanaspoti linatambua Bagayoko alikuwa na timu hiyo tangu…

Read More

Mechi 10 zaishtua Simba Tunisia

Simba imetazama historia ya mechi zake 10 zilizopita za kimataifa ilizocheza ugenini na kugundua ina kazi kubwa ya kufanya katika mechi ya kesho jijini Tunis, Tunisia itakapocheza na CS Sfaxien ya huko. Katika mechi hizo 10 zilizopita za kimataifa ambazo Simba imecheza ugenini, haijapata ushindi huku ikitoka sare tano na kupoteza michezo mitano. Na mechi…

Read More

Watano wafariki dunia Russia, Ukraine zikikoleza vita

Kiev. Takriban watu watano wamefariki dunia katika majibizano ya makombora kati ya vikosi vya Russia na Ukraine, Ijumaa Januari 3, 2025. Miongoni mwa mashambulizi yaliyosababisha vifo hivyo ni shambulizi la kombora la Russia katika Jiji la Chernigiv nchini Ukraine. Tovuti ya The Guardian imeripoti kuwa kombora hilo lilirushwa na kupiga eneo la makazi na kusababisha…

Read More

DC Malinyi ampongeza Mkurugenzi Katimba

  MKUU wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro, Sebastian Waryuba, amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Khamis Katimba kwa kukusanya asilimia 82 ya mapato ya ndani katika miezi sita pekee (Julai – Desemba 2024). Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Akizungumza katika kikao cha wadau wa maendeleo wa wilaya hiyo tarehe 4 Januari 2025,…

Read More