Mashambulizi na diplomasia – DW – 03.01.2025

Katika mkoa wa Kyiv, vipande vya mabaki ya droni vilimuua dereva wa lori na kuwajeruhi watu wanne, wakiwemo kijana wa miaka 16. Nyumba za makazi na majengo ya biashara ziliharibiwa katika mikoa kadhaa, ingawa hakuna majeruhi walioripotiwa Kyiv. Jeshi la Ukraine limeripoti kushambulia kituo cha kamandi ya jeshi la Urusi huko Maryino, mkoa wa Kursk,…

Read More

Massawe ‘Bwana harusi’ apata dhamana

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Vicent Masawe (36) maarufu Bwana harusi, anayekabiliwa na mashtaka ya wizi wa gari na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu amepata dhamana. Masawe aliyekula sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya akiwa gerezani baada ya kushindwa kutimiza masharti, amepata dhamana leo Ijumaa Januari 3, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mshtakiwa…

Read More

Nyakua kitita leo kwa kucheza European Roulette sloti

Mchezo ni mmoja tu kwasasa ambao unakuhakikishia kushinda mkwanja wa kutosha nao si mwingine ni European Roulette ambao umekuja kwa kasi na washindi wa vitita wanapatikana kila siku cheza leo ushinde. European Roulette ni moja wa michezo ya kasino ya mtandaoni rahisi na inayopendwa na wachezaji wengi, mchezo huu umetengenezwa na Habanero. Ambapo Meridianbet kasino…

Read More

Wenje ataja kiini mtifuano Mbowe, Lissu Chadema

Mwanza. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje amesema wapambe wa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na wa makamu wake (Bara,) Tundu Lissu ndiyo chanzo cha mtifuano ndani ya chama hicho. Wenje amesema hayo leo Ijumaa Januari 3, 2025 alipozungumza na waandishi wa habari, viongozi na wanachama wa Chadema jijini Mwanza baada ya…

Read More

Mawasiliano Same bado baada ya daraja kukatika

Same. Mawasiliano ya barabara kuu ya Same-Mkomazi, wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro yameendelea kukwama kwa siku ya pili, mamlaka husika zikiendelea kutafuta ufumbuzi. Mkwamo wa mawasiliano unatokana na Daraja la Mpirani kukatika jana Januari 2, 2025 saa mbili asubuhi kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Daraja hilo ndilo kiungo cha kata na makazi ya wananchi wanaoishi…

Read More

Kibarua kocha mpya Singida BS kipo hapa

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud amekiri kibarua alichonacho baada ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa timu hiyo sio rahisi, licha ya kufurahia kukutana na wachezaji wenye ubora na uwezo mkubwa ambao anaendelea kuwasoma kabla ya kuanza mambo katika Ligi Kuu baadae Machi, mwaka huu. Licha ya kuwa na uzoefu  na mafanikio katika soka…

Read More

Ditram Nchimbi apewa miezi sita Mbeya City

MSHAMBULIAJI nyota wa zamani wa Majimaji, Yanga, Polisi Tanzania na Taifa Stars, Ditram Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship kwa mkataba wa miezi sita hadi mwisho wa msimu huu. Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza baada ya kuikacha Biashara United kutokana na timu hiyo kukabiliwa na ukata. Mbeya Kwanza katika Championship msimu huu…

Read More

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu watakiwa kuendelea kudumisha amani,

Watanzania ,Wazanzibari na Waumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuidumisha amani, utulivu na mshikamano uliopo nchini ili kuweza kuisaidia serikali kuweza kupiga hatua kimaendeleo. Hayo yamesemwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wakati akiwasalimia waumini wa Masjid RIDHAA uliopo MADUNGU WILAYA YA CHAKE CHAKE mara baada ya kumaliza…

Read More