Changamoto za kisiasa zinazoisubiri Ujerumani mwaka 2025 – DW – 02.01.2025

Kudhibiti uhamiaji, kuzuia mashambulizi ya kimtandao, kulinda utawala wa sheria na taasisi za demokrasia ni mambo makuu matatu ambayo yumkini yatachukua muda mwingi katika siasa za Ujerumani mwaka 2025. Mamlaka zitakabiliwa na kizungumkuti katika kupambana na uhamiaji holela, wakati huo huo zikiendesha sera ya kuwavutia wafanyakazi wa kigeni wenye ujuzi. Changamoto nyingine itakuwa katika kuimarisha…

Read More

Kambi za Mbowe, Lissu zategeana umakamu mwenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Wakati Tundu Lissu na Freeman Mbowe wanachuana kuwania uenyekiti wa Chadema, kinyang’anyiro kingine kinatarajiwa kushuhudiwa kwenye nafasi ya umakamu mwenyekiti-bara ambayo kambi hizo mbili bado zinategeana. Uliacha Ezekiel Wenje ambaye ametangaza nia hiyo, wengine wanaotajwa ni John Heche na Godbless Lema. Mbowe anayetetea nafasi hiyo aliyeiongoza kwa miaka 20, ataumana vikali na…

Read More

‘Dk Manguruwe’ kuhojiwa polisi siku tatu mfululizo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisitu, imemruhusu Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu Dk Manguruwe anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, kwenda kuhojiwa polisi kwa siku tatu mfululizo. Mkondya na mwenzake, Mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59), wanakabiliwa na mashtaka 28 yakiweno ya kuendesha biashara…

Read More

Kabamba, Duah watimkia KenGold | Mwanaspoti

MABOSI wa KenGold wako katika harakati za kukisuka kikosi hicho ili kisishuke daraja na tayari wamemali-zana na aliyekuwa nyota wa Yanga Mzambia, Erick Kabamba na kiungo Mghana Stephen Duah aliyezichezea Stand United, Namungo na Kagera Sugar. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo ya jijini Mbeya inayoburuza mkiani mwa msimamo kwa pointi sita baada ya kushinda…

Read More

Polisi yawafungia leseni madereva 30 kwa ulevi Dar

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafungia leseni madereva 30 kati ya 179 waliokamatwa katika kipindi cha sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya 2025. Madereva hao 30 walikamatwa katika operesheni maalumu na walipopimwa walikutwa na ulevi kwa kiwago cha zaidi ya miligramu 80. Hayo yamesemwa na Kamanda wa Kanda…

Read More

Ndunguru: Gusa achia, itaiua Mazembe mapema tu!

KIKOSI cha Yanga kesho kitapiga tizi la mwisho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, kabla ya keshokutwa kurejea kambini Avic Town kujiandaa na pambano la Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo, huku kiungo wa zamani wa timu hiyo ya Jangwani akiitabiria ushindi wa mapema nyumbani. Raymond Nduguru aliyewahi kuichezea…

Read More

Kibarua cha Josiah Tanzania Prisons

PAMOJA na heshima aliyopata kutoka Championship hadi Ligi Kuu, kocha mpya wa Tanzania Prisons, Aman Josiah anakabiliwa na mtihani mzito kutoboa. Josiah anatarajia kuinoa Prisons baada ya mtangulizi wake, Mbwana Makata kufungashiwa virago kutokana na matokeo yasiyoridhisha katika Ligi Kuu. Katika michezo 15 aliyoiongoza Makata, Prisons imeshinda miwili, sare tano na kupoteza saba na kuiacha…

Read More

Mbappe wa Azam apelekwa KMC

UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Azam FC, Cheickna Diakite ‘Mbappe’ kwa mkopo wa miezi sita, baada ya nyota huyo kuomba kutolewa kwenda timu nyingine ili akapate nafasi zaidi ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Taarifa kutoka ndani ya Azam zililiambia Mwanaspoti, Diakite aliyejiunga na timu hiyo mwanzoni mwa…

Read More

Danadana zagubika ununuzi mabasi ya mwendo kasi

Dar es Salaam. Danadana zimegubika ununuzi wa mabasi katika Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (BRT) chini ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) katika awamu ya kwanza na ya pili. Rais Samia Suluhu Hassan, alipotoa salamu za Mwaka Mpya kwa Watanzania Desemba 31, 2024 alisema katika mwaka 2025 miongoni mwa miradi itakayotekelezwa kwa uwekezaji kwa…

Read More