Mrundi aziingiza vitani Pamba Jiji, TRA United

LICHA ya beki wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi kubakisha mkataba wa miezi sita na kikosi hicho, ila timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake dirisha dogo la Januari 2026, zikiwemo za Pamba Jiji na TRA United. Mtu wa karibu na mchezaji huyo, ameiambia Mwanaspoti ni kweli nyota huyo anafuatiliwa na timu mbalimbali dirisha…

Read More

TRA yapanua wigo wa kodi kuzuia magendo na ukwepaji kodi

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amesema wamejipanga kuongeza wigo wa kodi kwa kuzuia ukwepaji kodi na magendo. Amesema hayo Desemba 12, 2025, alipofanya mkutano na mawakala wa forodha na washauri wa kodi Jijini Dar es Salaam, ili kubaini changamoto wanazokabiliana nazo na kuzitafutia ufumbuzi. Hili linaelezwa wakati…

Read More

Chico Ushindi afariki dunia, kigogo athibitisha

TAARIFA mbaya kwa klabu Yanga ni kwamba, kiungo wao wa zamani Chico Ushindi amefariki dunia leo Desemba 13, 2025 akiwa kwao DR Congo. Mmoja wa maofisa wa klabu ya DON Bosco ambayo amewahi kuitumikia nyota huyo akitokea TP Mazembe, amethibitisha kwamba Chico amefariki baada ya kuugua kwa siku chache. Bosi huyo amesema Chico, alikuwa sawa…

Read More

Zitto ashida kesi dhidi ya Harbinder Sethi wa IPTL

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeitupilia mbali kesi ya madai ya zaidi ya Sh15 bilioni iliyofunguliwa na mfanyabiashara, Harbinder Sethi dhidi ya Zitto Kabwe. Katika shauri hilo, Sethi alidai ndiye mwenye hisa nyingi katika Kampuni ya Pan Africa Power Solution (PAP) iliyosajiliwa Tanzania na kwamba, PAP inamiliki pia…

Read More

MAREHEMU JENISTA MHAGAMA ALIKUWA KIONGOZI JASIRI,MWAMINIFU NA MLEZI WA VIONGOZI WA WENGI – RASI DKT SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Joakim Mhagama, iliyofanyika katika Kanisa la Mwenyeheri Maria-Theresa Ledochowska, Parokia ya Kiwanja cha Ndege, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma.  Rais Dkt. Samia alieleza…

Read More