Mrundi aziingiza vitani Pamba Jiji, TRA United
LICHA ya beki wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi kubakisha mkataba wa miezi sita na kikosi hicho, ila timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake dirisha dogo la Januari 2026, zikiwemo za Pamba Jiji na TRA United. Mtu wa karibu na mchezaji huyo, ameiambia Mwanaspoti ni kweli nyota huyo anafuatiliwa na timu mbalimbali dirisha…