Ahadi ya Serikali ya umeme wa gridi yatekelezwa Kagera

Kagera. Ahadi ya Serikali ya kufikisha umeme wa gridi ya Taifa katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera imetekelezwa baada ya kusaini mikataba ya ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benako, Ngara  hadi Kyaka  wilayani Misenyi. Utekelezaji wa mradi huo unaenda sambamba na ujenzi wa kituo cha kupoza umeme…

Read More

Bado Watatu – 7 | Mwanaspoti

“MUME wako anaitwa nani?” “Anaitwa Omar Kikasha.” “Hakuna mtu mwingine anayeishi katika nyumba hii anayetumia jina hili?” Nilianza kutomuamini mwanamke huyo kwa kuhisi alikuwa anatuficha. Tabia ya binaadamu akishaona mtu anaulizwa na polisi hata kama hajui amefanya kosa au la, anamficha. Sijui ni kwanini? “Mume wako yuko wapi?” nikamuuliza. “Anafanya kazi wapi?” “Mume wangu ni…

Read More

Auawa kwa kukatwa na wembe gesti, wivu wa mapenzi watajwa

Shinyanga. Mkazi wa kata ya Masekelo, Pendo Samson Methusela (37) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumkata kata na kiwembe sehemu mbalimbali za mwili wake, Timithoy Magesa (35) na kusababisha kifo chake. Akizungumza kwa njia ya simu na Mwananchi Digital leo Agosti 25, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth…

Read More

AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA

📌 Dkt.Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba itakayowezesha Wilaya zote Kagera kupata umeme wa Gridi 📌 Awali umeme mwingi ulikuwa ukitoka nchini Uganda hivyo kufanya Mkoa kutokuwa na umeme wa uhakika na wa kutosha 📌 Asema Rais.Dkt. Samia alishatoa maagizo ya mradi huo kutekelezwa kwa wakati na kwa usahihi 📌 Aagiza wananchi 1,014 waliopisha mradi kulipwa…

Read More

Wanaodaiwa kuua mwanafamilia, waendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Fred Chaula (56) na wenzake wawili, wanaokabiliwa na kesi ya mauaji watalazimika kuendelea kusalia rumande hadi Septemba 8, 2025. Hiyo, inatokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49) dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis…

Read More

Bado Watatu – 6 | Mwanaspoti

“NIKAITAZAMA namba yake na kuiandika kwenye notibuku yangu kisha nikaingia upande wa meseji zilizotoka ambazo aliziandika marehemu mwenyewe.Huko nilikuta meseji kadhaa lakini nilizozitilia maanani zilikuwa meseji mbili ambazo aliziandika katika tarehe ya jana yake.Moja iliuliza.“Nyumbani wapi?”Ya pili ikauliza.Utakuja saa ngapi?”Nikahisi kwamba meseji hizo zilikuwa majibu ya zile meseji zilizotumwa ambazo moja zilisema; “Itabidi nije nyumbani…

Read More

Buswita: mabao yatafungwa Namungo | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Namungo, Pius Buswita amesema ujio wa Heritier Makambo katika timu hiyo unaongeza nguvu ya ushindani na namba, idadi ya mabao katika michuano yote ya msimu ujao. Buswita katika misimu miwili Namungo, alifunga jumla ya mabao 10, 2023-2024 mabao saba na msimu uliopita alifunga matatu na asisti mbili, alisema kwa kiwango na kipaji…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More

Bado Watatu – 5 | Mwanaspoti

“SI nimekwambia nina mazungumzo na wewe!” “Kumbe Fadhil hunijui. Nilikuheshimu pale ulipokuwa unaniheshimu. Kama unathubutu kuvunja heshima yangu mbele ya kirukanjia wako yule, nitakuvunjia heshima halafu utaniona mbaya. Mimi sitaki kufuatwa na wewe tena na sihitaji mazungumzo yako.” Bahati njema hapakuwa na watu karibu. Kama wangekuwepo ningekuwa nimeumbuka kutokana na maneno makali niliyokuwa nikiambiwa. Ilikuwa…

Read More