Chaumma kubinafsisha sekta ya maji ikishika dola
Dodoma. Mgombea mwenza Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema tatizo la maji nchini litakomeshwa chini ya Serikali ya chama hicho kwa sekta hiyo kubinafsishwa. Amesema ubinafsishaji ni sehemu ya kuondoa kero ya maji ambayo kwa muda mrefu Serikali chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeshindwa kuwapatia huduma ya uhakika Watanzania. Mgombea mwenza…