Radi yaua ng’ombe 16 hifadhini Rukwa

Rukwa. Radi imeua ng’ombe 16 katika Kijiji cha Ngolotwa, wilayani Kalambo, mkoani Rukwa. Tukio hilo limetokea Jumatano Januari 1, 2025 wakati ng’ombe hao wakichungwa katika hifadhi ya Kalambo mkoani humo, huku mmiliki mpaka sasa akiwa hajafahamika. Mhifadhi Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Ibrahim Mkiwa amesema wamewakuta ng’ombe hao wamekufa hifadhini humo, huku akitoa rai kwa…

Read More

Kilimanjaro Heroes ni ubingwa tu Mapinduzi Cup

Benchi la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Heroes’ limesema kuwa lengo kuu la kushiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi 2024 yatakayofanyika Pemba, Zanzibar ni kutwaa ubingwa. Kocha wa Kilimanjaro Heroes, Ahmad Ally alisema kuwa pamoja na ugumu ambao watakutana nao katika mashindano hayo, watahakikisha wanacheza vyema katika mashindano hayo ili wamalize…

Read More

Sababu bidhaa za Tanzania kununuliwa zaidi nje ya nchi

Biashara ya kuvuka mipaka imeendelea kuimarika wakati ambao Tanzania imeendelea kuuza zaidi kuliko inavyonunua bidhaa za nje, Ripoti ya Uchumi wa Kikanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza. Wakati biashara hiyo ikikua, Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (Tatoa) kimetaka jitihada zaidi katika kupunguza misongamano ya magari mipakani, hasa Tunduma ili kuongeza ufanisi wa…

Read More

Diarra akoleza moto, Ramovic achekelea

KIPA Diarra Djigui aliyekuwa nje ya uwanja kwa wiki kama mbili amerejea akianza kujifua, jambo lililompa furaha kocha wa Yanga, Sead Ramovic huku akijiandaa kukabiliana na TP Mazembe ya DR Congo wikiendi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga inayoburuza mkia katika Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi…

Read More