
Chanzo harufu mbaya puani | Mwananchi
Dar es Salaam. Umewahi kukutana na mtu, kila akipumua anatoa harufu kali usiyoweza kuivumilia? Wengi huhisi ni jasho la mwili na wachache wakidhani ni harufu ya kinywa. Hii ni harufu itokayo puani. Huenda ikawa si ugonjwa, ila ni matatizo ya mfumo wa upumuaji yanayofahamika kama halitosis au bad breath, tatizo hili husababishwa na mambo ya…