KMC yamng’oa Chikola Tabora United

BAADA ya kiungo mshambuliaji wa KMC, Ibrahim Elias ‘Mao’ kutoonekana kikosini uongozi wa timu hiyo umemalizana na Offen Chikola kwa ajili ya kuongeza nguvu kikosini humo. Elias tangu alipoonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Fountain Gate ugenini huku timu yake ikikubali kichapo cha mabao 2-0 hajaonekana kikosini. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani…

Read More

Dabo amvuta Bangala AS Vita

SIKU kadhaa tangu amalizane na Azam FC iliyoamua kusitisha mkataba aliokuwa nao, kiungo anayemudu kucheza pia kama beki wa kati, Yannick Bangala amejiunga na AS Vita ya DR Congo inayonolewa na kocha Youssouf Dabo aliyewahi kufanya naye kazi kikosi cha Matajiri wa Chamazi. Bangala aliyewahi kukukipiga Yanga kabla ya kujiunga na Azam misimu miwili iliyopita,…

Read More

Wadaiwa kuharibu gari la polisi mkesha wa mwaka mpya

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya vurugu na kuharibu gari la polisi lililokuwa likifanya doria usiku wa kuamkia Januari Mosi, 2025. Akizungumza leo Januari 2, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema tukio hilo lilitokea usiku wa Desemba 31, 2024 Mtaa wa Kiusa, Manispaa…

Read More

Meridianbet kuanza kazi Brazil – Mwanahalisi Online

  Meridianbet, moja ya waendeshaji wakuu wa kimataifa wa michezo ya kubashiri na michezo ya mtandaoni na sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), sasa imepata rasmi leseni ya kubashiri mtandaoni nchini Brazil, ikifungua fursa ya kuingia katika moja ya masoko yenye faida kubwa zaidi duniani. Hatua hii inaiwezesha Meridianbet kutoa huduma za kubashiri michezo…

Read More