MOROGORO YATAJWA KANDA MAALUM UFUGAJI WA KISASA

Mkoa wa Morogoro watajwa kuwa Kanda Maalum ya ufugaji wenye tija kwa kuwa na ng’ombe wa kisasa na mashamba ya malisho kwa ajili ya mifugo. Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amebainisha hayo Januari 03, 2025 katika Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro alipokuwa akizungumza na baadhi ya wafugaji wa mkoa huo akifafanua…

Read More

Kampuni ya CCCC kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya China (CCCC) tawi la Tanzania imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na vyombo vya habari ili kufanikisha utekelezwaji wa shughuli mbalimbali inazozifanya nchini kwa manufaa ya taifa. Akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu tathmini ya utendaji wa shughuli za kampuni hiyo, Kiongozi wa CCCC Tawi la Tanzania,…

Read More

Mashambulizi na diplomasia – DW – 03.01.2025

Katika mkoa wa Kyiv, vipande vya mabaki ya droni vilimuua dereva wa lori na kuwajeruhi watu wanne, wakiwemo kijana wa miaka 16. Nyumba za makazi na majengo ya biashara ziliharibiwa katika mikoa kadhaa, ingawa hakuna majeruhi walioripotiwa Kyiv. Jeshi la Ukraine limeripoti kushambulia kituo cha kamandi ya jeshi la Urusi huko Maryino, mkoa wa Kursk,…

Read More

Massawe ‘Bwana harusi’ apata dhamana

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Vicent Masawe (36) maarufu Bwana harusi, anayekabiliwa na mashtaka ya wizi wa gari na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu amepata dhamana. Masawe aliyekula sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya akiwa gerezani baada ya kushindwa kutimiza masharti, amepata dhamana leo Ijumaa Januari 3, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mshtakiwa…

Read More