Dk Nchimbi: Wananchi wa Peramiho hawana malalamiko na Jenista

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi chote cha miaka 25 ambayo Jenista Mhagama amekuwa mbunge wa Peramiho, wananchi wake hawana malalamiko juu yake. Amesema hali hiyo ilitokana na kazi kubwa aliyofanya, akitanguliza maslahi ya wananchi mbele na kuwatumikia kwa upendo. Jenista amekuwa mbunge kwa miaka 25, naibu waziri kwa…

Read More

Jenista Mhagama alivyojitoa kwa kanisa

Dodoma. Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja cha Ndege, Padri Emmanuel Mtambo amesema mbali na utumishi wa Serikali na nyanja za kisiasa, marehemu Jenista Mhagama alikuwa ni mtumishi mwaminifu wa kanisa hilo. Paroko Mtambo ametoa kauli hiyo wakati wa mahubiri yake kwenye ibada ya kuaga mwili wa Mhagama ndani ya kanisa hilo leo Jumamosi…

Read More

Familia, Zungu walivyomuelezea Jenista Mhagama

Dar es Salaam. Mtoto wa marehemu, Victor Mhagama, amesema wakati wengine wakimuita Jenista Mhagama kiongozi, wao walimuita mama na katekista kwa sababu alikuwa mwalimu wa dini nyumbani. “Tulimpenda sana mama, tuliishi naye kwa karibu na upendo naye aliunganisha sana familia yetu,” amesema Mhagama. Ametoa kauli hiyo wakati akitoa neno la familia katika ibada ya kuaga…

Read More

Familia, Zungu wamueleze Jenista Mhagama

Dar es Salaam. Mtoto wa marehemu, Victor Mhagama, amesema wakati wengine wakimuita Jenista Mhagama kiongozi, wao walimuita mama na katekista kwa sababu alikuwa mwalimu wa dini nyumbani. “Tulimpenda sana mama, tuliishi naye kwa karibu na upendo naye aliunganisha sana familia yetu,” amesema Mhagama. Ametoa kauli hiyo wakati akitoa neno la familia katika ibada ya kuaga…

Read More

Bingwa Mapinduzi Cup 2026 kulamba Sh150 milioni

KLABU nane zitashiriki Kombe la Mapinduzi 2026, baada ya msimu uliopita mashindano hayo kushirikisha timu za taifa na Zanzibar Heroes kuwa bingwa ilipoichapa Burkina Faso mabao 2-1, kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Mashindano hayo yaliyopangwa kuanza Desemba 28, 2025 na kumaliza Januari 13, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, bingwa atakabidhiwa Sh150…

Read More

WAZIRI SANGU: MFUMO e-UTATUZI MAFANIKIO MAKUBWA CMA

Na: Ofisi ya Waziri Mkuu – KAM WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, ameipongeza Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) kwa mafanikio makubwa katika utatuzi wa migogoro ya kikazi, baada ya kusuluhisha migogoro 4,339 hadi kufikia Septemba 2025. Waziri Sangu ametoa pongezi hizo Desemba 13, 2025,…

Read More