Dk Nchimbi: Wananchi wa Peramiho hawana malalamiko na Jenista
Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi chote cha miaka 25 ambayo Jenista Mhagama amekuwa mbunge wa Peramiho, wananchi wake hawana malalamiko juu yake. Amesema hali hiyo ilitokana na kazi kubwa aliyofanya, akitanguliza maslahi ya wananchi mbele na kuwatumikia kwa upendo. Jenista amekuwa mbunge kwa miaka 25, naibu waziri kwa…