Bunge lataja sababu za kifo cha Jenista Mhagama

Dar es Salaam. Maradhi ya moyo umetajwa kuwa ndiyo chanzo cha kifo cha aliyekuwa mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama ambaye alifariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma. Hayo yamebainishwa na Katibu wa Bunge, Baraka Leornad leo Jumamosi Desemba 13, 2025 wakati akisoma wasifu wa marehemu Jenista, baada ya ibada ya misa…

Read More

BALOZI DKT. MIGIRO IBADANI KUMUAGA JENISTA MHAGAMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wa CCM, amejumuika na waombolezaji wengine kushiriki ibada ya kumuaga aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Joakimu Mhagama, inayofanyika katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa…

Read More

Bodaboda watano waliokufa kwa kugongwa na lori watambuliwa

Dodoma. Miili yote mitano ya madereva wa bodaboda waliofariki dunia kwa ajali ya kugongwa na lori lililofeli breki eneo la Dodoma Makulu na kuwaparamia wakiwa kijiweni imetambuliwa na kuchukuliwa na ndugu. Ajali hiyo ilitokea saa 2:30 usiku wa Desemba 11, 2025 wakiwa kwenye kijiwe chao cha Amani, wakisubiri wateja. ‎Waliofariki wametambuliwa kuwa ni Ishadi Jaa…

Read More

Mauwasa yatangaza mgawo wa maji Maswa kutokana na ukame

Maswa. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) imetangaza kuanza kwa mgawo wa maji katika Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, kutoka na upungufu wa maji katika vyanzo vyake vya maji, likiwemo bwawa la New Sola, ambalo ndiyo chanzo kikuu cha maji. Akizungumza leo Desemba 13, 2025, na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Vigogo kushiriki ibada ya kuaga mwili wa Mhagama

Dodoma. Viongozi mbalimbali Serikali na wabunge wameanza kuwasili katika Kanisa Katoliki Kiwanja cha Ndege kwa ajili ya ibada ya mwisho ya kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama. Ibada hiyo inatarajia kuhudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine wa…

Read More

Hii hapa ratiba ya mgawo wa maji Dar

Dar es Salaam. Kutokana na uhaba wa maji jijini Dar es Salaam, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira  (Dawasa) imetangaza ratiba ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa mpango wa dharura kwa wakazi wa jiji hilo, hatua inayolenga kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa usawa wakati wa changamoto za uzalishaji na usambazaji. Kwa mujibu wa…

Read More

Urithi wa kuishi kwenye hatua ya ulimwengu – maswala ya ulimwengu

UNESCOs Urithi usioonekana wa kitamaduni Programu inazingatia kuweka hai mazoea, maarifa, na maneno ambayo jamii hutambua kama sehemu ya kitambulisho chao cha kitamaduni. Mzunguko mkubwa wa maandishi umehitimisha hivi karibuni na ujumbe ulikuwa wazi: Urithi wa kuishi unanusurika wakati unathaminiwa, kutekelezwa, na kupitishwa. Miaka ya kazi ya utulivu Ndani ya ukumbi huko New Delhi, makofi…

Read More