Bado Watatu – 16 | Mwanaspoti

“Sijambo. Karibu” Msichana akanijibu huku akinitazama kwa macho ya udadisi. “Sijui kama unanikumbuka?” “Nakukumbuka, ulikuja juzi kumuulizia mtu fulani , nikakwambia hatumfahamu” “Sasa nimekuja tena kwa tatizo hilo hilo. Nakumbuka uliniambia kwamba nyinyi ni wapangaji, sasa nilikuwa namhitaji mwenye nyumba hii” “Nakumbuka nilikwambia mwenye nyumba haishi hapa, anaishi Iringa” “Nipatie hata namba yake” “Anayo mume…

Read More

Straika Singida BS kubaki Pamba Jiji

BAADA ya mshambuliaji wa Singida Black Stars, Abdoulaye Yonta Camara, raia wa Guinea kukitumikia kikosi cha Pamba Jiji kwa mkopo wa miezi sita kwa msimu wa 2024-2025, mabosi wa timu hiyo wanafanya mazungumzo ya kuendelea kubaki naye. Camara alijiunga na Singida Agosti 14, 2024, ingawa sababu za kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara ziliwafanya…

Read More

Fadlu awatega mastaa Simba | Mwanaspoti

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids mjanja sana baada ya kupata uhakika ukuta wa timu hiyo umeimarika zaidi kwa kutua beki wa kati mwingine mpya, Wilson Nangu na kipa wa Taifa Stars, Yakoub Suleiman ametoa kauli inayoonekana kama mtego kwa mastaa. Kocha huyo amesema anawasubiri wachezaji hao kambini waungane na timu ili ajue namna ya kuwatumia,…

Read More

Chikola ajishtukia mapema Yanga | Mwanaspoti

YANGA inaendelea kujifua kwenye kambi yao iliyopo Avic Town, Kigamboni chini ya kocha Romain Folz, lakini kuna winga mmoja mpya aliyetua klabuni hapo hivi karibuni amejishtukia baada ya kukiangalia kikosi hicho na fasta akaamua kujiongeza mwenyewe ili mambo yawe mepesi. Nyota huyo ni kiungo mshambuliaji aliyetua Jangwani kutoka Tabora United, Offen Chikola amesema kwa namna…

Read More

WAMILIKI WA SILAHA WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA ZAO

………. JESHI la Polisi limewataka watu wote wanaomiliki silaha haramu kinyume na sheria kuzisalimisha kwa hiyari kunzia Sepetemba 01, hadi Oktoba 31, mwaka huu ambao ndiyo muda wa msamaha ulitolewa na Serikali. Msemaji Mkuu wa Jeshi hilo David Misime, alisema hayo leo jijini Dodoma,  wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu msamaha wa kutoshitakiwa kwa…

Read More

NIRC YAWEKA KAMBI KUCHIMBA VISIMA 52 VYA UMWAGILIAJI TABORA John Bukuku Last updated: 2025/09/01 at 2:38 PM John Bukuku 4 hours ago Share

…………. NIRC:Nzega  Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeanza uchimbaji wa visima 52 katika halmashauri nane za Mkoa wa Tabora. Ili kuwezesha wakulima wa maeneo hayo kuacha kulima kilimo cha mazoea ya kugemea msimu wa mvua na kujikita katika kilimo cha kisasa cha umwagiliaji. Katika kijiji cha Miguwa, visima vitakavyochimbwa vitamwagilia zaidi ya ekari…

Read More

Kampeni zaendelea, vyama vitatu vikisuasua

Dar/Mikoani. Wakati Chama cha Demokrasia Makini kikizindua kampeni zake za uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kesho Jumanne, vyama vinne vimepishana na ratiba ya uzinduzi wa kampeni zao iliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), huku Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kujinadi kwa wananchi. Wakati kampeni zikiingia siku ya tano leo tangu zianze Agosti…

Read More