PIGABET YAENDELEA KUVUNJA REKODI KWA WASHINDI WA WIKI YA 4
Dar es Salaam,– Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet inaendelea kutimiza ndoto za wateja wake kupitia kampeni zake kubwa mbili: Shinda Ndinga na Pigabet pamoja na Jismartishe, inayofanyika kwa ushirikiano na Mixx by Yas. Katika droo ya wiki hii ya Shinda Ndinga, Shafii Kayamba ameibuka mshindi na kujinyakulia simu mpya aina ya Samsung…