TIB Yashiriki Kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji wa Taasisi za Umma Arusha
Benki ya Maendeleo TIB, ikiwa benki ya maendeleo nchini yenye jukumu la kipekee la kuchochea maendeleo ya taifa, ni miongoni mwa taasisi za umma zinazoshiriki kikao kazi Kikao Kazi cha Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma kinachoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha. Kwa miaka kadhaa, TIB imeendelea kuwa…