Raia wa Bulgaria, mwenzake kizimbani wakidaiwa kutakatisha Sh346 milioni mali ya CRDB, NBC
Dar es Salaam. Raia wa Bulgaria, Eduardl Mladenov (32) na Mtanzania Juma Ndambile (58) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka sita yakiwemo ya kuongoza genge la uhalifu wa kupangwa na kujihusisha na miamala ya kutoa fedha zenye thamani ya Sh364 milioni kutoka benki za CRDB na NBC. Pia, wanadaiwa kukutwa na…