Taoussi aanza hesabu mpya | Mwanaspoti

KIKOSI cha Azam FC kimeanza mazoezi mapema wiki hii, ili kuijiandaa na lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi akisisitiza amewarejesha mapema mastaa wa timu hiyo ili kuhakikisha hesabu zake kwa duru la pili la ligi zinakaa sawa kuanzia Machi Mosi. Azam inayoshika nafasi ya tatu kwa sasa nyuma…

Read More

Matano aanza mbwembwe Fountain Gate

KOCHA mpya wa Fountain Gate, Mkenya Robert Matano amewaahidi mashabiki na viongozi kutegemea mambo makubwa ndani ya timu hiyo, huku jambo kubwa analotaka ni sapoti ili wafanye vizuri katika mashindano mbalimbali. Matano aliyekuwa anakifundisha kikosi cha Sofapaka nchini Kenya, alitangazwa kuifundisha timu hiyo juzi akichukua mikoba ya Mohamed Muya aliyetimuliwa Desemba 29, mwaka jana muda…

Read More

Serikali yaanza kumwaga fedha miradi ya barabara

Lindi. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imeanza kutoa fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara, hivyo hakutakuwa na kisingizio kwa makandarasi kutoikamilisha kwa wakati miradi hiyo. Waziri Ulega ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Januari 11, 2025 wakati akikagua ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Nachingwea – Ruangwa –…

Read More

Wakulima wa parachichi Njombe sasa kucheka

Njombe. Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi mkoani mwake,  ni mkombozi mkubwa kwa wakulima kwani tofauti na ilivyokuwa awali mkulima alikuwa anauza kwa bei ndogo kutokana na hofu ya tunda kuharibika lakini sasa atakuwa na maamuzi ya bei. Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa kiwanda…

Read More

Misaada muhimu imezuiwa huko Gaza, kwani uhaba wa mafuta unatishia huduma za kuokoa maisha – Global Issues

Siku ya Alhamisi, ni harakati 10 tu kati ya 21 zilizopangwa za kibinadamu ziliwezeshwa na mamlaka ya Israeli. Saba walinyimwa moja kwa moja, watatu walizuiliwa na moja ilifutwa kwa sababu ya changamoto za usalama na vifaa, alisema Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric, katika mkutano wa Ijumaa na wanahabari mjini New York. OCHA pia…

Read More

Mawasiliano Same-Mkomazi yarejea daraja likikamilika 

Same. Mawasiliano barabara kuu ya Same -Mkomazi, wilayani Same yamerejea baada ya ujenzi wa Daraja la Mpirani kukamilika. Daraja hilo ambalo lipo Kata ya Maore, lilivunjika Januari 2, 2025 baada ya nguzo zilizokuwa zimelishikilia kuathiriwa na mvua. Kuvunjika kwa daraja hilo kulisababisha adha ya usafiri na usafirishaji hasa kwa wananchi wanaoishi katika safu za milima…

Read More

SERIKALI YASISITIZA UMUHIMU WA MAFUNZO YA UFUATILIAJI NA TATHIMINI KWA MAENDELEO YA MIRADI YA SERIKALI

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) imezitaka halmashauri, taasisi, na wadau mbalimbali wanaonufaika na mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kutumia vyema fursa hizo.  Imepongeza ushirikiano uliopo baina ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, ambacho kimeendelea kutoa mafunzo wakishirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuongeza ufanisi wa kufuatilia na kusimamia maendeleo…

Read More

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA AFYA NA UKIMWI YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA UKIMWI NJOMBE

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) imezitaka halmashauri, taasisi, na wadau mbalimbali wanaonufaika na mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini kutumia vyema fursa hizo.  Imepongeza ushirikiano uliopo baina ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, ambacho kimeendelea kutoa mafunzo wakishirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuongeza ufanisi wa kufuatilia na kusimamia maendeleo…

Read More