RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI YA KWANZA TUMBATU IKIWA NI SHAMRASHAMRA ZA MIAKA 61 YA MAPINDUZI
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika tabasamu wakati akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Zanzibar Mhe. Haji Omar Kheri, wakati akielekea katika eneo la ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Tumbatu, ufunguzi wa Skuli hiyo uliofanyika leo 4-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61…