SACP SENGA – FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA
Na Issa Mwdangala Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Ignace Senga amefanya baraza na askari wa Mkoa wa Songwe Januari 03, 2025 katika ukumbi wa Polisi uliyopo Vwawa Wilaya ya Mbozi na kuwataka askari hao kuendelea kutekeleza jukumu mama la kulinda raia na mali zao ikiwa ni pamoja…