Waziri Mkuu Canada atangaza kujiuzulu, Trump atoa kauli

Canada. Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau ametangaza kujiuzulu wadhfa huo na uongozi wa chama tawala nchini humo huku akisema ataondoka ofisini mara baada chama chake kutangaza mrithi wa nafasi yake. Trudeau ametangaza uamuzi huo jana Jumatatu Januari 6, 2025, huku akidai amelazimika kufanya hivyo kutokana na mzozo wa kisiasa uliogubika ndani ya utawala wa…

Read More

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA ITALIA KUENDELEZA SEKTA YA MADINI

▪️Mkutano wa Wafanyabiashara wa Tanzania na Italia kufanyika Mwezi Februari, 2025. ▪️Kampuni za Utengenezaji Vifaa kutoka vya Madini kutoka Italia kushiriki. ▪️Wachimbaji kunufaika na teknolojia na mitambo rafiki kwa mazingira Dar es Salaam Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde (Mb) amesena kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na…

Read More

Congress yathibitisha ushindi wa Trump – DW – 07.01.2025

Kinyume na hali ilivyokuwa miaka minne iliyopita, siku ya Jumatatu (Januari 6) bunge la Marekani lilifanikisha kwa wepesi tukio hilo ambalo ni alama ya mila ya kidemokrasia kwa taifa hilo kubwa duniani bila ya mashaka yoyote. Makamu wa Rais Kamala Harris alisimamia zoezi hilo la kuhisabiwa kura za wajumbe na kisha akamtangaza rasmi aliyekuwa mpinzani wake kwenye…

Read More

Fadlu alivyovunja mwiko wa miaka 22

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, ameweka rekodi ndani ya timu hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0, juzi dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia. Ushindi huo ni wa kwanza ugenini kwa kikosi hicho kuupata Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika kwenye michuano ya CAF. Bao la Simba lilifungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua dakika…

Read More