Mapinduzi Cup 2025 vita ya wanandugu

PAZIA la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 ambayo kwa msimu huu imehusisha timu za taifa, linafunguliwa leo usiku kwa mchezo mmoja unaozikutanisha timu ‘ndugu’ za Tanzania Bara na Zanzibar, huku Uganda The Cranes ambao ni moja ya wenyeji wa Chan 2025 na Afcon 2027 ikijiondoa katika dakika za mwishoni. Michuano hiyo inayofanyika kwenye Uwanja…

Read More

MTOTO WA MIAKA 12 APOTEA JIJINI DODOMA

Walezi wa mtoto wa Paulina Nanyoro katika kata ya Hazina Jijini Dodoma wameingia katika sintofahamu ya kupotea kwa mtoto wao wa kike mwenye umri wa miaka 12 kutojulikana alipo kwa kipindi cha muda wa wiki mbili huku wakihofia huenda mtoto huyo ametoroshwa licha ya taarifa hizo kuwa mezani kwa jeshi lapolisi. Akizungumzia mazingira ya mtoto…

Read More

Mkali wa mabao KenGold akimbilia Namungo

KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa KenGold, Joshua Ibrahim baada ya kufikia makubaliano binafsi na nyota huyo, aliyekitumikia kikosi hicho cha jijini Mbeya kwa mkataba wa miezi sita tu. Straika huyo ndiye kinara wa mabao wa wageni hao wa Ligi Kuu wanaoburuza mkia kwa sasa akiwa na…

Read More

Zaidi ya Wasyria 115,000 wamerejea nyumbani tangu kumalizika kwa udikteta wa Assad – Masuala ya Ulimwenguni

The habari inatokana na taarifa za umma za nchi mwenyeji, mawasiliano na huduma za uhamiaji kutoka ndani ya Syria, na ufuatiliaji wa mpaka unaofanywa na wakala na washirika. UNHCR Alisema Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki aliripoti kwamba Wasyria 35,113 wamerejea nyumbani kwa hiari. Mabadiliko ya idadi ya watu waliorejea Jordan Kwa upande wake,…

Read More

Mpanzu sasa uhakika, Mutale akiachwa Dar

KIKOSI cha Simba tayari kipo jijini Tunis, Tunisia kikijichimbia katika hoteli moja ya kishua iitwayo Royal Asbu, huku benchi la ufundi pamoja na wanachama na mashabiki wa klabu hiyo wakipa mzuka zidi baada ya Shirikisho la Soka Afrika kuwalainisha mambo kabla ya kuvaana na CS Sfaxien Jumapili ya wiki hii. Simba iliyoondoka juzi usiku kwenda…

Read More

Ramovic: Hao Mazembe hawachomoki | Mwanaspoti

YANGA itaingia rasmi kambini Avic Town kesho Ijumaa kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya kuikaribisha TP Mazembe katika pambano la raundi ya nne ya Ligi ya Mabingwa kwa Kundi A, huku benchi la ufundi na vigogo wa klabu hiyo wakiweka mkakati kabambe ili kurejesha heshima anga za kimataifa. Kwa sasa Yanga ndio inayoburuza mkia katika…

Read More

Ishara hizi katika kucha hutabiri hali ya afya yako

Dar es Salaam. Licha ya kucha kuwa urembo asili unaoongeza uzuri kwenye miguu na vidole vya mikono kwa binadamu na wanyama, wataalamu wa afya wanataja kuwa zina taarifa muhimu kuhusu hali ya afya ya binadamu. Ni muhimu kuzingatia mabadiliko ya rangi kwenye kucha zako, na vipengele vingine vinavyotumika kama tahadhari kwa magonjwa mengi. Mabadiliko kwenye…

Read More

Chanzo harufu mbaya puani | Mwananchi

Dar es Salaam. Umewahi kukutana na mtu, kila akipumua anatoa harufu kali usiyoweza kuivumilia? Wengi huhisi ni jasho la mwili na wachache wakidhani ni harufu ya kinywa. Hii ni harufu itokayo puani. Huenda ikawa si ugonjwa, ila ni matatizo ya mfumo wa upumuaji yanayofahamika kama halitosis au bad breath, tatizo hili husababishwa na mambo ya…

Read More