BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu
BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu – Global Publishers Home Burudani BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu
BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu – Global Publishers Home Burudani BASATA Yasitisha Hafla ya TMA 2025 Bila Kutoa Sababu
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 13, 2025 – Global Publishers Home Habari Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 13, 2025
Serikali Yatangaza Nafasi 514 za Ajira Sekta Mbalimbali – Deadline Disemba 23 – Global Publishers Home Ajira Serikali Yatangaza Nafasi 514 za Ajira Sekta Mbalimbali – Deadline Disemba 23
Kukera mpya na Alliance Fleuve Kongo/Mouvement du 23 Mars . Mapigano mapya yamesababisha majeruhi wa raia, kuharibu miundombinu na kuwafukuza mamia ya maelfu kutoka nyumba zao, kulingana na maafisa wa Umoja wa Mataifa na vikundi vya kibinadamu. UN na Baraza la Usalama wameelezea mara kwa mara wanamgambo wengi wa Wa-Tutsi M23 kama inavyoungwa mkono na…
MNUAT Yatangaza Ajira Mpya 54, Mwisho wa Maombi Disemba 21, 2025 – Global Publishers Home Habari MNUAT Yatangaza Ajira Mpya 54, Mwisho wa Maombi Disemba 21, 2025
Mwili wa Marehemu Jenista Mhagama Ulivyowasili Nyumbani Itega, Dodoma – Global Publishers Home Habari Mwili wa Marehemu Jenista Mhagama Ulivyowasili Nyumbani Itega, Dodoma
Kocha wa Algeria Bougherra Atangaza Kujiuzulu, Siku 8 Kabla ya AFCON – Global Publishers Home Michezo Kocha wa Algeria Bougherra Atangaza Kujiuzulu, Siku 8 Kabla ya AFCON
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amewaasa wahitimu wa Chuo cha Ardhi Morogoro (ARIMO) kujiepusha na matendo maovu na elimu na maarifa waliyopata yawe tunu na faida kwa Taifa. Mhe. Dkt Akwilapo ametoa wito huo tarehe 12 Desemba 2025 wakati wa mahafali ya 44 ya Chuo cha Ardhi Morogoro…
KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, ametoa wito kwa wafanyabiashara pamoja na washauri wa walipakodi kuimarisha maadili, uaminifu na weledi katika utoaji wa huduma zao, ili kujenga mazingira salama, shindani na yenye utii wa kodi kwa manufaa ya uchumi wa taifa. Hayo ameyasema leo Desemba 12, 2025 wakati akizungumza katika kikao maalum…
Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, CPA. Ashiraf Abdulkarim,akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya uchambuzi na uandaaji wa mpango Mkakati mpya wa miaka mitano 2026-2031 wa Shirika la Masoko ya Kariakoo. …. Shirika la Masoko ya Kariakoo limeanza rasmi maandalizi ya Mpango Mkakati mpya wa miaka mitano 2026-2031, hatua inayolenga kulifanya…