Yanga yamshusha staa mpya Kwa Mkapa
YANGA ikiwa inapambana uwanjani leo jioni ikiizamisha TP Mazembe kwea mabao 3-1, jukwaani akaonekana mshambuliaji mpya, Jonathan Ikangalombo, ambaye Mwanaspoti liliwaripotia kwamba yupo hatua ya mwisho kumalizana na klabu hiyo ya Jangwani. Ikangalombo anyemudu kucheza winga zote mbili anayetokea AS Vita alionekana jukwaa Kuu la VVIP akiwa na maofisa wa Yanga wakithibitisha wazi kwamba yupo…