Kaya 400,000 zaondolewa mpango wa Tasaf

Unguja. Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) katika utekelezaji wa afua mbalimbali, umehitimisha kaya za walengwa 400,000 nchi nzima, kati ya hizo 22,400 zinatoka Zanzibar. Mkurugenzi Mtendaji wa Tasaf, Shedrack Mziray amesema hayo kwenye uzinduzi wa Kituo cha Afya Kinyikani, Pemba kilichojengwa na mfuko huo. “Kaya hizi baada ya kuhudumiwa na mpango kwa takribani miaka…

Read More

Sababu ZRA kuvuka lengo makusanyo Julai-Desemba

Unguja. Wakati Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) katika kipindi cha nusu ya kwanza cha Julai hadi Desemba 2024 ikikusanya Sh429.033 bilioni sawa na ufanisi wa asilimia 102 ya makisio, sababu 10 zimetajwa kuchangia hali hiyo. Taarifa iliyotolewa na Kaimu Kamishna wa ZRA, Said Ali Mohamed kwa vyombo vya habari leo Januari 4, 2025 imesema miongoni…

Read More

Nashon: Dili la Yanga limekwamia hapa!

KIUNGO aliyekuwa anatajwa kujiunga na Yanga na ghafla dili lake kukwama, Kelvin Nashon ametoa sababu za kukwama kuwa ni kukosa nafasi ya kucheza mara kwa mara katika kikosi cha Singida Black Stars, huku akidai kuwa muda mwingine ikitokea nafasi atacheza. Yanga ilituma ofa ya kumtaka Nashon kwa mkopo dilisha hili la usajili na mambo yalikwenda…

Read More

Dk Mwinyi ataka sheria, kanuni matunzo ya nyumba

Unguja. Wakati nyumba mpya za kisasa za makazi zikijengwa, Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi imeelekezwa kuandaa mpango maalumu wa sheria au kanuni kuzilinda zisiharibiwe. Maelekezo hayo yametolewa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo Januari 4, 2025 alipofungua nyumba za makazi na biashara eneo la Kwa Mchina Mombasa, ambazo zimejengwa na Shirika…

Read More

Kipa wa Gabon anukia Tabora United

MABOSI wa Tabora United wapo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa namba moja wa timu ya taifa ya Gabon, Jean-Noel Amonome. Kipa huyo wa zamani wa Amazulu ya Afrika Kusini na AS Arta Solar ya Djibouti ujio wake utaongeza ushindani dhidi ya Hussein Masalanga ambaye ndiye kipa namba moja kwa sasa na Haroun…

Read More

Piga pesa na Meridianbet leo

  Je unajua kuwa Jumamosi ya leo unaweza kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Ligi kuu ya Uingereza, EPL leo hii mapema kabisa Tottenham Hot Spurs baada ya kulazimishwa sare mechi yake iliyopita,…

Read More

Wakimbizi vijana wa Venezuela wanapata mwanzo mpya katika shule za Trinidad – Masuala ya Ulimwenguni

Wakati mkimbizi wa Venezuela mwenye umri wa miaka 11 Astrid Saavedra alipoingia katika darasa lake la darasa la nne huko Trinidad na Tobago kwa siku yake ya kwanza shuleni mnamo Septemba, alikuwa na hamu ya kuanza masomo katika somo alilopenda zaidi, hisabati. Lakini matarajio ya kufundisha wanafunzi wenzake kuhusu nchi yake ya Venezuela yalikuwa ya…

Read More