JKT Queens kuanza na Wasudani U17 Cecafa

TIMU ya soka ya wanawake ya vijana U17 ya JKT Queens inatarajiwa kuzindua michuano ya CAF kanda ya Cecafa inayoanza kesho kwa kuvaana na City Lights FA ya Sudan Kusini kwenye mchezo wa Kundi A wa michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, uliopo Chamazi Dar es Salaam. JKT Queens imepangwa kundi moja sambamba…

Read More

Get Program yatema tisa | Mwanaspoti

GET Program ambayo inapitia ukata itawapa mkono wa kwaheri nyota tisa ambao itashindwa kuendelea nao katika dirisha hili dogo la uhamisho kutokana na changamoto ya kifedha. Wachezaji hao ni Koku Kipanga, Diana Mnally, Zubeda Mgunda waliotimkia Yanga Princess, Janeth Nyagali, Anandez Lazaro, Zainabu Ally, Nasma Manduta, Lucy Mrema na Elizabeth Nashon. Chanzo kiliiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Okutu aweka ngumu Pamba Jiji

KITENDO cha mabosi wa Pamba Jiji kutaka kumtoa kwa mkopo mshambuliaji wa timu hiyo, Eric Okutu, kambi ya mchezaji huyo Mghana imeibuka na kudai haikubaliani na jambo hilo, isipokuwa kwa sharti moja la kuuvunja mkataba uliobaki wa miezi sita. Viongozi wa Pamba wanahitaji kumpeleka Okutu kwa mkopo KenGold na hii ni baada ya kuinasa saini…

Read More

Simba robo fainali CAF hii hapa, andaeni suti

SIMBA jana usiku ilifanya makubwa huko Tunisia ikiipasua CS Sfaxien kwa bao 1-0 la kiungo Jean Charles Ahoua, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids akianza mapema kuisoma Bravos do Maquis ya Angola watakayovaana nayo wikiendi hii, akilenga kufuzu robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika akiwa ugenini Angola huku akiwa na mechi moja…

Read More

Simba yatanguliza mguu mmoja robo fainali

BAO pekee lililofungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua limeipa Simba ushindi wa kwanza ugenini msimu huu katika mechi za Kombe la Shirikisho Afrika  baada ya kuichapa CS Sfaxien ya Tunisia na kutanguliza mguu mmoja kufuzu robo fainali. Ushindi huo wa kihistoria kwa Simba katika ardhi ya Afrika Kaskazini ulipatikana usiku huu kwenye Uwanja wa…

Read More

Simba yaongeza Straika | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumtambulisha golikipa, Wilfrida Seda kutoka Get Program, timu hiyo imemvuta tena straika Janet Mpeni kutoka timu hiyo. Kama usajili huo utakamilika, Simba Queens hadi sasa itakuwa imefikisha nyota watatu, Seda, Mpeni na Zawadi Khamis kutoka Fountain Gate Princess ambaye hajatambulishwa kikosini hapo. Nyota huyo kwa sasa yuko kwenye majukumu ya timu…

Read More