600,000 watumia majina feki kuomba vitambulisho Nida

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 25 tangu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa kuipa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), siku 60 za kusambaza vitambulisho milioni 1.2 vilivyotengenezwa, mamlaka hiyo imebainisha kukumbana na changamoto ya majina feki. Akizungumza na waandishi wa habari, baada ya ziara fupi ya Naibu Waziri wa Mambo…

Read More

Ulega kuwa Waziri wa ‘Site’

Kilwa. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema katika utendaji wake asitarajiwe kuonekana zaidi ofisini bali atajikita kwenye ziara kukagua miradi mbalimbali ikiwemo barabara, ili kuona uhalisia wa utekelezaji wake. Amesema Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya uboreshaji na ujenzi wa miundombinu hivyo, lazima afuatilie kwa ukaribu kujua utekelezaji wake hasa kwa kuzingatia viwango na…

Read More

Jamii namba mbioni kuanza kutolewa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza zaidi ya mifumo 300 kufanya kazi kwa kusomana, wajumbe wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) wametaka mchakato wa utoaji namba jamii kwa Watanzania kuharakishwa. Hiyo imetajwa kuwa moja ya njia itakayosaidia kusomana kwa mifumo hiyo kuwa na faida katika ukuaji wa uchumi na kuongeza uwazi zaidi. Jamii namba…

Read More

Kamati Kuu Chadema yajifungia kufanya uteuzi wagombea wa mabaraza

Dar es Salaam. Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekutana katika kikao kilicholenga kufanya uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye mabaraza ya chama hicho ya vijana (Bavicha), wanawake (Bawacha)  na wazee (Bazecha). Mkutano huo ulioongozwa na Mwenyekiti, Freeman Mbowe, umehudhuriwa na wajumbe wa kamati kuu, baadhi yao ni wale…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT.KIKWETE ASHIRIKI MIKUTANO YA KUBORESHA KILIMO

RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Afrika (Africa Food Prize Committee) na Mjumbe wa Bodi ya AGRA, anashiriki Mikutano mbalimbali kuhusu uboreshaji wa kilimo barani Afrika, kuelekea kupitishwa kwa Programu ya Kuendeleza Kilimo Barani Afrika (CAADP 2026 – 2035), Kampala, nchini Uganda. Mikutano hii itafikia kilele kwa…

Read More

Sababu Dk Slaa kushitakiwa, kunyimwa dhamana

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe, Dk Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X (zamani twitter). Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo jioni, Januari 10, 2025 akikabiliwa na kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025. Dk Slaa aliyewahi kuwa balozi wa…

Read More

Magoti asimamisha uuzwaji ardhi Homboza, awashughulikie matapeli

Kisarawe. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, amepiga marufuku kwa mtu au kampuni yoyote kuuza au kununua  ardhi kitongoji cha Homboza Kata ya Msimbu wilayani humo,  mpaka hapo atakapomaliza kushughulika na matapeli wa ardhi Magoti amepiga marufuku hiyo leo  Januari 10,2024 katika mkutano wa hadhara na wananchi uliofanyika ofisi za Kata Homboza, uliolenga kusikiliza…

Read More

Mume na mke mbaroni wakituhumiwa kuiba mtoto

Songea. Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia wenza  wakazi wa Mjimwema kwa fupi Manispaa ya Songea, kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa miezi 11. Jeshi hilo pia  linawatafuta wanawake wengine wawili ambao wanadaiwa walishiriki kuiba mtoto huyo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Marco Chilya akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 10,…

Read More