Baleke, Yanga ngoma nzito, ishu nzima iko hivi

YANGA imekuwa ikitajwa kutaka kumtema mshambiliaji Jean Baleke, lakini inaelezwa hadi sasa mambo bado magumu kutokana na kuwepo kwa vipengele vinavyoufanya mkataba baina yao usivunjike kirahisi. Awali, Yanga ilitaka kumpeleka Baleke kwa mkopo Namungo, lakini mchezaji anataka mkataba uvunjike alipwe chake na maisha mengine yaendelee, hivyo wanaendelea kujadiliana kuona jambo hilo wanalimaliza kwa uharaka. Mwanaspoti…

Read More

Simba yapewa Mbukinabe, Mnyarwanda Yanga

SIMBA na Yanga zipo ugenini kwa sasa zikijiandaa na mechi za raundi ya tano za michuano ya kimataifa inayopigwa wikiendi hii, huku Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likitangaza waamuzi watakaozihukumu mbele ya wenyeji wao, Bravos ya Angola na Al Hilal ya Sudan. Simba inayoshika nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, itakuwa…

Read More

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa rambirambi huku kukiwa na moto mkali huko California – Global Issues

Moto huo, unaoelezewa kuwa mbaya zaidi katika historia ya jiji hilo, umeteketeza maelfu ya ekari, kuharibu nyumba na kuwaacha wazima moto wakipambana kudhibiti milipuko mingi katika hali ambayo haijawahi kutokea. “Katibu Mkuu ameshtushwa na kusikitishwa na uharibifu mkubwa unaosababishwa na moto unaoendelea kwa kasi,” alisema. MsemajiStéphane Dujarric, katika a kauliiliyotolewa tarehe Alhamisi. Bwana Guterres alitoa…

Read More

Ukuaji wa kimataifa kubaki chini katika 2025 huku kukiwa na sintofahamu, ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonya – Masuala ya Ulimwenguni

The Hali ya Kiuchumi Duniani na Matarajio (WESP) 2025 ripoti inaonyesha kuwa licha ya kustahimili mfululizo wa mishtuko inayoimarisha pande zote mbili, ukuaji wa uchumi wa dunia umedorora na kubaki chini ya wastani wa mwaka kabla ya janga la asilimia 3.2. Ripoti iliyotolewa na Idara ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Kiuchumi na Kijamii…

Read More

DC Mpogolo apokea taarifa uboreshaji Shule za Msingi Olympio Diamond, Zanaki Bunge, Mzizima na Kisutu

  Na MWANDISHI WETU MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amepokea taarifa maalumu ya mikakati ya uboreshaji wa Shule za Msingi Olympio Diamond, Zanaki Bunge, Mzizima na Kisutu ambayo imejikita kupunguza msongamano wawanafunzi kwa mwaka huu 2025 na kuinua taaluma. Akizungumza baada ya kupokea taarifa hiyo, Mpogolo amesema lengo ni kupunguza msongamano  wawanafunzi, kuboresha…

Read More

RC SIMIYU AANZA YA SIKU 30 KWA KISHINDO ZIARA KIJIJI KWA KIJIJI

Na Mwandishi Wetu,Simiyu MKUU wa Mkoa wa Simiyu Mkuu Kenani Kihongosi amesema Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi wote kwenda kuwatumikia wananchi katika maeneo ambayo wamekabidhiwa dhamana hiyo. Akizungumza leo Januari 9,2025 wakati anaanza ziara katika vijiji vya Nyamikoma, Mwandama, Sapiwi, Igegu Magharibi,Igegu Mashariki, Igegu, Isenge, Mwamabu, Igagalulwa, Sengerema…

Read More

Polisi mwendo mdundo | Mwanaspoti

NYOTA wa timu ya kikapu  ya Polisi, Lawi Mwambasi amesema ushindi walioupata dhidi ya Yellow Jacket wa pointi 81-70 katika Ligi Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam, ulitokana na kujituma muda wote wa mchezo.  Mchezo huo uliokuwa mzuri na wa kusisimua ulifanyika kwenye Uwanja wa Bandari, Kurasini na Mwambasi aliiambia Mwanaspoti, licha ya…

Read More

Kilimanjaro Stars yamaliza Mapinduzi Cup bila bao, pointi

KATI ya timu nne zilizoshiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025, ni Kilimanjaro Stars pekee ambayo haijafunga bao wala kupata pointi baada ya mechi tatu. Kilimanjaro Stars inayoundwa na wachezaji kutoka Tanzania Bara, leo Januari 9, 2025 imepoteza mchezo wa tatu kwa mabao 2-0 dhidi ya Burkina Faso ambayo imejikatia tiketi ya kucheza fainali ikifikisha…

Read More