KONA YA MSTAAFU: Mwaka mpya uwe na mambo mapya kwa mstaafu

Wiki moja ya kwanza ya mwaka 2025 imekatika na sasa tunasubiriwa na wiki 51 kuzifanyia kazi ikiwamo ile muhimu ya uchaguzi mkuu wa nchi.  Wastaafu watakuwa na kazi kubwa ya kumjua na kumpigia kura yule wanayeamini ataweza kuzifanyia kazi hali zao duni, hasa atakayewaongezea pensheni yao ifike japo Sh300,000  kwa mwezi. Inawezekana, hasa kama Siri-kali…

Read More

Mahakama Kuu ilivyopangua adhabu ya mfungwa wa uchawi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Kigoma imeamuru kuachiliwa huru mara moja kwa mfungwa aliyekuwa akitumikia adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa linalohusiana na uchawi, Iddy Hussein, kutokana na adhabu hiyo kutokuzingatia misingi ya kisheria katika kutoa adhabu. Mahakama hiyo imetoa amri hiyo katika hukumu iliyotolewa na Jaji John Nkwabi kufuatia…

Read More

Serikali yaahidi upatikanaji maji maeneo matano Dar

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew amesema maeneo yaliyokuwa na changamoto ya huduma ya majisafi ya Kinyerezi, Ukonga, Kitunda, Kibamba na Mwanagati jijini Dar es Salaam yanakwenda kupata huduma ya kutosheleza. Hatua hiyo inatokana na mradi wa Bangulo unaogharimu kiasi Sh36.8 bilioni ukitarajia kuhudumia wakazi zaidi ya 450,000 ukijumuisha ujenzi wa…

Read More

Ntobi avuliwa uenyekiti Chadema, mwenyewe atoa msimamo

Shinyanga. Kikao cha kamati tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilichofanyika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga jana Jumatano Januari 8, 2025 kimefikia uamuzi wa kumvua uongozi Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi. Taarifa iliyotolewa leo Januari 9, 2025 na Katibu wa Chadema Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imesema Ntobi amevuliwa nafasi…

Read More

Baraza la Usalama lakutana kuhusu Syria, pamoja na taarifa za Gaza na Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

© UNICEF/Marissa Sargi Mtoto wa mwaka mmoja anachunguzwa utapiamlo na timu ya afya inayoungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) nchini Syria. Jumatano, Januari 08, 2025 Habari za Umoja wa Mataifa Wakati vita huko Gaza vikiendelea huku makumi ya raia tayari wameripotiwa kuuawa na kujeruhiwa kufikia sasa mwaka huu –…

Read More

MZUMBE YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI, YAWATOA HOFU WANAFUNZI KUHUSU KUJISAJILI

NA FARIDA MANGUBE – MOROGORO Chuo Kikuu Mzumbe kimewatoa hofu wanafunzi ambao hawajafanya usajili chuoni hapo kwamba zoezi la usajili bado linaendelea mpaka January 10, 2025 na wapuuze taarifa zinazosambaa mtandaoni. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Willium Mwegoha, akizungumza na waandishi wa habari amekanusha taarifa zilizopo kwenye mitandao ya kijamii kwamba wanafunzi wanaotakiwa…

Read More