CAF yaongeza mkwanja CHAN | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeweka wazi ongezeko kubwa la zawadi kwa washindi wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ya mwaka 2024 yatakayofanyika Kenya, Tanzania, na Uganda. Zawadi ya mshindi wa michuano hii imeongezwa kwa asilimia 75, ambapo sasa mshindi atapata dola 3.5milioni ambazo ni zaidi ya 8.7 bilioni. Aidha, jumla ya zawadi kwa…

Read More

Polisi yaonya wananchi kumpiga anayedaiwa kuwa ni ‘Teleza’

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amewaonya wananchi waliotaka kumshambulia mwananchi mmoja wakimtuhumu kuwa ni mbakaji maarufu ‘Teleza’. Kamanda Mutafungwa ameyasema hayo leo Alhamisi Januari 9, 2025 katika taarifa kwa umma iliyochapishwa katika kurasa za mitandao ya kijamii ya Jeshi la Polisi. “Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linapenda kuwatoa hofu wananchi wa…

Read More

WAKAZI WA SAME WATAKIWA KUENZI MABADILIKO YA MIUNDOMBINU NA UCHUMI YANAYOWEKEZWA NA SERIKALI

Na Ashrack Miraji Same Kilimanjaro Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amewataka wananchi wa wilaya ya Same kutambua na kumiliki mafanikio ya serikali kwa kutunza na kulinda miundimbinu inayowekezwa kwenye maeneo yao pamoja na kujenga tabia ya kuenzi mabadiliko makubwa ya miundombinu ya huduma na uchumi ambayo imewekezwa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa…

Read More

Sababu kuwepo matumaini ya nafuu bei ya mafuta 2025

Miongoni mwa bidhaa muhimu ambazo Tanzania huziagiza nje ya nchi ni bidhaa za mafuta, ambazo gharama zake kwa mwaka ni wastani wa Dola za Marekani 2.57 bilioni (Sh6.1 trilioni). Kutokana na umuhimu wake katika uchumi, kushuka na kupanda kwa bei za bidhaa hiyo huwa na athari ya moja kwa moja katika maisha ya kila siku…

Read More

Faili zima la winga mpya Mcongo wa Yanga hili hapa

WAKATI mabosi wa Yanga wakiwa mezani kumalizana na mshambuliaji anayemudu kucheza kama winga, Jonathan Ikangalombo, kocha wa zamani wa AS Vita anayotoka nyota huyo wa DR Congo, amefunguka juu ya makali ya mchezaji huyo akisema mabingwa wa Tanzania wamepata mtu wa kutengeneza mabao na kufunga. Kocha Raoul Shungu, aliyewahi kuzinoa Yanga na AS Vita kwa…

Read More

Kocha Bravos: Simba? Tatizo ni Ahoua

KIKOSI cha Simba kimeondoka alfajiri ya leo kwenda Angola kuwahi pambano la raundi ya tano la Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos do Maquis, huku kocha wa wenyeji wa mchezo huo utakaopigwa Jumapili akifichua Wekundu hao wamewatia ubaridi kwa namba walizonazo, lakini wakitishwa zaidi na nyota mmoja matata. Simba iliyopo nafasi ya pili katika…

Read More

Chama karudi, taabu iko palepale

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama aliyekuwa nje akiuguza majeraha, amerudi na alfajiri ya leo ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa kwenye msafara wa timu hiyo ulioenda Mauritania kuwahi pambano la Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal, huku kocha Sead Ramovic akiacha wachezaji watatu jijini Dar es Salaam. Yanga itarudiana na Al Hilal nchini…

Read More