Afariki dunia akidaiwa kunywa pombe za kienyeji

Babati. Mkazi wa Mtaa wa Sawe, Kata ya Maisaka, mjini Babati mkoani Manyara, Yona Angres amefariki dunia kwa kile kinachodaiwa ni kunywa pombe nyingi za kienyeji kupita kiasi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ahmed Makarani akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Januari 8 mwaka 2025 amethibitisha kutokea kwa…

Read More

Moto wateketeza maduka mawili Handeni, wafanyabiashara walalamikia gari la Zimamoto

Handeni. Maduka mawili ya bidhaa za vyombo na mikate yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Jumatano Januari 8, 2025, wilayani Handeni, mkoani Tanga, huku wafanyabiashara wakilalamikia Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kushindwa kutoa msaada wa haraka. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi Digital leo, wafanyabiashara wa maeneo ya Chanika wilayani Handeni walisema moto huo…

Read More

MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU CCM YASHIKA KASI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameongoza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa kutembelea Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma ili kukagua maendeleo ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 na 19 Januari 2025. Ukumbi huo, wenye uwezo wa kuchukua…

Read More

Madereva mabasi ya Lindi, Mtwara wagoma kisa faini 

Lindi. Madereva wa mabasi yanayofanya safari kutoka Stendi Kuu ya Lindi kuelekea Masasi mkoani Mtwara na Nachingwea, Liwale na Ruangwa, wamegoma kuendelea na safari kwa madai ya kufungiwa leseni na kuzidishiwa faini kutoka kwa askari wa kitengo cha usalama barabarani mkoani Lindi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Januari 8, 2025, Bakari Saidi ambaye ni dereva…

Read More

Reli ya Kaskazini kuboreshwa | Mwananchi

Arusha. Serikali imesema ipo mbioni kufanya maboresho makubwa ya reli ya Kanda ya Kaskazini kwa lengo la kupunguza msongamano wa malori ya mizigo yanayopita katika Jiji la Arusha kutokea Bandari ya Tanga. Aidha imesema kumekuwa na msongamano mkubwa wa malori hayo yanayoelekea nchi jirani na kusababisha kero kubwa kwa watumiaji wa barabara. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Wanaume 193 waugua kipindupindu Mbeya

Mbeya. Katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, watu 261 wamebainika kuugua ugonjwa wa kipindupindu, kati yao wanaume ni 193, wakiwemo watoto 12 wenye umri chini ya miaka mitano. Taarifa hizi zimetolewa na Mganga Mkuu wa Jiji la Mbeya, Dk Yesaya Mwasubila, wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kikiwamo…

Read More

Fountain Gate hakuna kulala, warejea kambini

LICHA ya Ligi Bara Kuu kusimama kwa miezi miwili, kikosi cha Fountain Gate kimeamua kurudi mapema kambini kikipanga kuanza Jumamosi kujiweka fiti tayari kwa duru la pili la ligi ya msimu huu. Fountain ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo inatarajia kuingia kambini Januari 11, huku mastaa wa timu hiyo wakitarajia kuanza kuripoti kuanzia kesho,…

Read More