Ombi la mjane Alice kwa mahakama sakata la nyumba

Dar es Salaam. Mjane, Alice Haule amewasilisha maombi ya kufungua shauri la madai ya ardhi katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, sambamba na maombi madogo, akiomba zuio la muda la kutoondolewa kwenye nyumba. Alice na mfanyabiashara Mohamed Mustafa Yusufali, wana mgogoro wa umiliki wa nyumba iliyopo kiwanja namba 819, chenye hati namba 49298, Msasani Beach,…

Read More

Profesa Nombo ataja mambo matano kuimarisha elimu Afrika

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo ametaja mambo matano ambayo nchi za Afrika zinapaswa kufanya kuinua sekta ya elimu ikiwemo uimarishaji wa mafunzo ya walimu. Mafunzo hayo ya walimu ni kwenye Tehama na stadi mbalimbali za elimu ili waendane na mabadiliko ya teknolojia na kuandaa wanafunzi…

Read More