SITA KIZIMBANI KWA MASHTAKA 68 IKIWEMO KUISABABISHIA TRA HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 2

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎‎WAFANYABIASHARA sita wa jijjni Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni (Kinondoni), wakikabiliwa na mashitaka 68 yakiwamo ya kupotosha mfumo na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.‎‎katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakama hapo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Daisy Makakala…

Read More

Mzee adaiwa kujinyonga kisa msongo wa mawazo

Shinyanga. Joseph Tuju (73) mkazi wa Mtaa wa Azimio, Kata ya Lubaga, Halmashauri Manispaa ya Shinyanga amefariki dunia kwa madai ya kujinyonga kwa kutumia shuka akiwa ndani ya nyumba yake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema, “taarifa hizi nimepokea Januari 6, 2025 saa 12 jioni na kwa…

Read More