Polisi yamnasa aliyetangaza kuuza mtoto Sh1.6 milioni mtandaoni

Mwanza.  Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu watatu akiwemo dereva bajaji, John Isaya (21) kwa tuhuma za kutengeneza na kusambaza picha mjongeo kwenye mitandao wa Tik Tok akitangaza kumuuza   mtoto wake kwa Sh1.6 milioni. Taarifa ya jeshi hilo iliyotolewa  Januari  6, 2024 na kusainiwa na Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbrod Mutafungwa, imeeleza…

Read More

Congress yathibitisha ushindi wa Trump – DW – 07.01.2025

Kinyume na hali ilivyokuwa miaka minne iliyopita, siku ya Jumatatu (Januari 6) bunge la Marekani lilifanikisha kwa wepesi tukio hilo ambalo ni alama ya mila ya kidemokrasia kwa taifa hilo kubwa duniani bila ya mashaka yoyote. Makamu wa Rais Kamala Harris alisimamia zoezi hilo la kuhisabiwa kura za wajumbe na kisha akamtangaza rasmi aliyekuwa mpinzani wake kwenye…

Read More

Fadlu alivyovunja mwiko wa miaka 22

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, ameweka rekodi ndani ya timu hiyo baada ya kupata ushindi wa bao 1-0, juzi dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia. Ushindi huo ni wa kwanza ugenini kwa kikosi hicho kuupata Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika kwenye michuano ya CAF. Bao la Simba lilifungwa na kiungo mshambuliaji, Jean Charles Ahoua dakika…

Read More

WAZIRI MKUU AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI MAKOBA YA ZANZIBAR

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Skuli ya Sekondari Makoba iliyoko Kaskazini Unguja ikiwa shamrashamra za Maadhimisho ya Maka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Januari 5, 2025. Wa pili kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Leila Muhamed Musa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa…

Read More

Sababu zilizowatoa gerezani Sanga na wenzake – 2

Njombe. Jana tulikuletea tuhuma za mauaji zilivyokuwa dhidi ya kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), George Sanga na wenzake wawili, walioshikiliwa mahabusu. Hii ni baada ya kukaa mahabusu siku 1,557 tangu walipokamatwa Septemba 26, 2020 kwa tuhuma za mauaji ya kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Emmanuel Mlelwa hadi walipoachiwa huru na Mahakama…

Read More