Ongezeko la uwekezaji sekta ya utalii lakuza uchumi Z’bar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema kuna ongezeko kubwa la wawekezaji katika sekta ya utalii, hatua inayochangia kukuza uchumi na kuleta maendeleo nchini. Amesema ongezeko hilo hasa katika uwekezaji wa hoteli, linachangia kuvutia idadi kubwa ya watalii wanaotembelea Zanzibar, hivyo kukuza sekta ya utalii. Dk Mwinyi amesema hayo leo Jumatatu Januari 6,…

Read More

RAIS MWINYI:ONGEZEKO LA WAWEKEZAJI NI UKUAJI WA UCHUMI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kuwa kuna ongezeko kubwa la Wawekezaji katika Sekta ya Utalii hatua inayochangia ukuaji wa Uchumi na Maendeleo ya nchi. Amebainisha kuwa Ongezeko hilo la Wawekezaji pia linachangia Ongezeko la Watalii wanaotembelea nchini hali inayoiimarisha sekta ya Utalii. Rais Dk. Mwinyi ameyasema…

Read More

Rooney wa Kenya kutua Singida Black Stars

WAKATI Singida Black Stars ikirejea mazoezini chini ya kocha mpya, Miloud Hamdi mwenye uraia wa Ufaransa na Algeria, mabosi wa timu hiyo wako katika hatua za mwisho za kumnasa beki wa kulia wa Gor Mahia ya Kenya, Rooney Onyango. Nyota huyo aliyejiunga na GorMahia 2022 akitokea Wazito FC anatarajia kujiunga na Singida Black Stars katika…

Read More

Sababu ACT kuiburuza Tamisemi mahakamani

Dar es Salaam. Malalamiko dhidi ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024 hatimaye yamefikia hatua ya mahakamani, baada ya Chama cha ACT Wazalendo kufungua mashauri 51 kupinga matokeo na mwenendo wake. Hatua hiyo ya ACT Wazalendo inakoleza moto wa malalamiko dhidi ya uchaguzi huo, yaliyoibuliwa na vyama vya upinzani…

Read More

KenGold yachafua hali ya hewa!

KWA wanachoendelea kufanya KenGold kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ni kama ‘kuchafua hali ya hewa’. Hiyo inatokana na majembe inayoyashusha baada ya kutembeza fagio la nyota wanane ilioanza nao msimu huu ambao ni wa kwanza kushiriki Ligi Kuu. Hadi sasa timu hiyo imetangaza kuachana na Poul Materraz, Asanga Stalon, James Msuva, Steven Mganga,…

Read More

Kiingereza pasua kichwa kidato cha pili

Dar es Salaam. Kiingereza ambayo ndiyo lugha ya kujifunzia kwa wanafunzi wa sekondari imeendelea kuwa mwiba, baada ya robo ya wanafunzi waliofanya mtihani wa majaribio wa kidato cha pili mwaka 2024 kupata alama F. Jambo hilo linatajwa kuwa moja ya sababu ya wanafunzi wengi kupata F katika masomo mengine kutokana na kushindwa kuelewa lugha inayotumika…

Read More

Singida Black Stars yakimbilia Arusha

KIKOSI cha Singida Black Stars kimerejea mazoezini na leo kinatarajia kwenda Arusha kwa ajili ya kuweka kambi ya mwezi mmoja kujiweka fiti na michuano iliyopo mbele ikiwemo Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuendelea Machi Mosi, mwaka huu. Wakati huohuo mshambuliaji Jonathan Sowah aliyesajiliwa na timu hiyo dirisha dogo msimu huu, anatarajiwa kuungana nayo kwa ajili ya…

Read More

Waziri Mkuu wa Canada kujiuzulu?

JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada, huenda akatangaza kujiuzulu ndani ya siku chache, kulingana na ripoti za vyombo vya habari. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Anafikiria kujiuzulu kama kiongozi wa chama tawala cha Liberal, na kumaliza miaka yake tisa kama waziri mkuu. Ni kufuatia miezi kadhaa ya shinikizo kutoka kwa wabunge wa chama chake….

Read More

Vijana wanne kati ya 29 ‘waliotekwa’ Kenya wapatikana

Nairobi. Tovuti ya Daily Nation imeripoti kuwa vijana wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana nchini Kenya, wamepatikana wakiwa hai huku familia zao zikithibitisha. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya tano ya nchi hiyo, walianza kutoweka mwishoni mwa mwaka 2024, jambo lililosababisha baadhi ya Wakenya kuandaa maandamano kuitaka Serikali…

Read More