DC aonya watakaovamia Pori la akiba Kilombero

Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero (DC), Dunstan Kyobya amesema Serikali haitawafumbia macho watu watakaohusika kudhoofisha jitihada za kulinda na kuhifadhi pori la akiba Kilombero ambalo ni mahususi kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu na wanyamapori. Pori hilo la akiba pia ndio chanzo cha upatikanaji wa maji kupitia mto Kilombero kwa ajili ya…

Read More

Wazazi, walezi chanzo cha unyanyasaji kwa watoto

  IMEELEZWA kuwa kitendo cha wazazi na walezi kutopata muda wa kukaa na watoto wao na kutumia muda mwingi kulelewa na watoto wa kazi kumechanga kwa kiasi kikubwa kutokea kwa mmomonyoko wa maadili pamoja na vitendo vya kikatili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma ..  (endelea). Hayo yameelezwa na mwinjilisti wa kitaifa na kimataifa Jordan Chisawino wa…

Read More

Mtalii afariki dunia, watano wajeruhiwa kwa ajali Ngorongoro

Arusha. Mtalii mmoja raia wa Israel ambaye jina lake halijafahamika (mwanamke) amefariki dunia huku wengine watano wakijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumapili Januari 5, 2025 na Kaimu Meneja wa Uhusiano wa Umma wa NCAA, Hamis Dambaya imeeleza ajali hiyo imetokea…

Read More

Kipindupindu chaitesa Mbeya, RC atoa maagizo

Dar/Mikoani. Wakati ugonjwa wa kipindupindu ukitajwa kuwapo katika halmashauri tatu za Mkoa wa Mbeya, mkuu wa mkoa huo, Juma Homera ametoa maelekezo kwa wakuu wa wilaya na kamati za afya. Pia amesema wakati mkoa huo ukiendelea kujipanga kukabiliana na ugonjwa huo, tayari maofisa wa Wizara ya Afya wametua mkoani humo kuongeza nguvu kuokoa maisha ya…

Read More

Gadiel aitosa Chippa United | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa kimataifa wa Tanzania, Gadiel Michael ameachana na Chippa United ya Afrika Kusini huku sababu za kuondoka klabuni hapo hazijulikani. Nyota huyo wa zamani wa Simba na Yanga ambaye wakati mwingine amekuwa akitumika kama kiungo ndani ya timu hiyo ya Chippa, alijiunga na timu hiyo msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Sumaye ataja yanayochangia kuvuruga amani ya uchaguzi 

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki miezi takribani tisa kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye ametaja mambo matano yanayoweza kuchangia kuvuruga amani katika uchaguzi huo.  Akizungumza na Mwananchi mwishoni mwa wiki iliyopita kujua anachokiona kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025, Sumaye amesema mambo hayo yana histori ya kuchafua amani…

Read More

Aisha Masaka kuiwahi Chelsea | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Aisha Masaka anayekipiga Brighton & Hove Albion ameondoka nchini baada ya likizo ya wiki moja na anatarajia kurejea uwanjani mwishoni mwa Februari kuuwahi mchezo wa Ligi dhidi ya Chelsea utakaopigwa Machi 02. Masaka alipata jeraha la bega kwenye mchezo wa Ligi Kuu England (W) dhidi ya Arsenal Novemba 9 mwaka huu uliomuweka…

Read More

Watengeneza maudhui yasiyofaa mitandaoni wanyooshewa kidole

Dar es Salaam. Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii bila shaka utakuwa unafahamu mizaha (Pranky) ya watengeneza maudhui yasiyofaa kwa lengo la kupata ufuatiliaji kwa watumiaji. Hivi karibuni kumekuwa na maudhui yenye kuzua taharuki kwenye jamii ili mradi muhusika afuatiliwe katika mtandao ya kijamii ikiwemo Instagram, Facebook, X  na TikTok. Mfano juzi tumeona video iliyosambaa…

Read More

Wabongo nguvu sawa Uturuki | Mwanaspoti

BAADA ya tambo za Watanzania wawili wanaokipiga katika Ligi ya Walemavu nchini Uturuki hatimaye mechi baina ya timu zao imemalizika kwa sare ya 1-1. Nyota hao ni Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe na Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee ambao walikutana kwenye mchezo wa Ligi hiyo uliojaa ushindani. Akizungumza na Mwanaspoti, Shedrack ambaye pia aliifunga timu…

Read More

Kinda Mbongo anakiwasha tu Australia

BEKI wa kulia Mtanzania, Kealey Adamson anayekipiga katika timu ya Macarthur ya Australia amekuwa mhimili mkubwa wa timu hiyo kwenye eneo la ulinzi. Kinda huyo mwenye miaka 20 ni Mtanzania mwenye asili ya Australia na aliwahi kucheza klabu moja na Charles M’mombwa ambaye amekuwa akiitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’. Timu hiyo…

Read More