Yaliyojiri shauri la Mpina kugombea urais
Dar es Salaam. Shauri la utata wa uteuzi wa mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 limetajwa mahakamani kwa mara ya kwanza, huku Mahakama ikisema haitasita kusimamia haki itakaporidhika kuhusu uwepo wa ukiukwaji wa taratibu. Shauri hilo limefunguliwa jana, Agosti 27, 2025, Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma, na Bodi ya…