WAANDISHI WAPIGWA MSASA KUHUSU MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA

Imeelezwa kuwa Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Noel Kaganda alipokuwa anatoa mada katika semina maalum kwa…

Read More

Polisi Zambia kuwasaka mahabusu walioachiwa huru na askari kimakosa

Zambia. Jeshi la Polisi nchini Zambia linawasaka watuhumiwa walioachiliwa huru na askari polisi aliyedaiwa kulewa ili washerehekee mapokezi ya mwaka mpya 2025. Desemba 31, 2024, ofisa huyo aitwaye, Titus Phiri aliwaachia watuhumiwa hao hatua iliyozua gumzo kwenye mitandao ya kijamii. Msako unaendelea huku wengi wakikabiliwa na mashtaka ya uhalifu ikiwa ni pamoja na kushambulia, wizi…

Read More

KITUO KIPYA CHA AFYA CHA CURE SPECIALIZED POLYCLINIC CHAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM, CHAAHIDI KUTOA HUDUMA ZA KISASA ZA AFYA

Na Humphrey Shao, Michuzi tv Kituo kipya cha Afya cha The Cure Specialized Polyclinic kimeziduliwa rasmi leo na papo hapo kusema, kimeajiandaa kuweka kambi maalum ya kutoa huduma za vipimo na matibabu katika kushiriki siku ya Kansa Duniani itakayoadhimishwa mwezi ujao wa Februari mwaka huu. Kituo hicho kimesema, kwenye kambi hiyo, kitatoa chanjo ya Saratani…

Read More

Kapama akizingua, Loth anatua Fountain

WAKATI mabosi wa Fountain Gate wakiendelea kusaka kocha mpya baada ya kumtimua Mohamed Muya, pia wako katika hesabu za kumpata aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Yanga na Singida Black Stars (zamani Ihefu), Rafael Daud Loth. Hesabu za mabosi hao zinajiri baada ya dili la Nassor Kapama kutoka Kagera Sugar kuonekana linaleta shida kutokana na uongozi…

Read More

Othman: Serikali inalenga kutanua fursa za elimu Zanzibar 

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud amesema uimarishaji wa miundombinu ya shule ni ishara kuwa, Serikali inalenga kutanua fursa ya elimu na kuhakikisha hakuna kijana anayekosa haki ya kupata elimu. Othman amesema hayo leo Jumapili, Januari 5, 2025 Maungani Wilaya ya Magharibi B Unguja baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule…

Read More

Kocha Yanga afichua siri ya Mpanzu

KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita ya DR Congo aliyewahi kumfundisha, winga mpya wa Simba, Elie Mpanzu amefichua kama Wekundu wa Msimbazi wanataka kumfaidi vilivyo nyota huyo basi kocha Fadlu Davids anapaswa kumtumia tofauti. Kocha huyo,  Raoul Shungu aliyasema hayo jana alipozungumza na Mwanaspoti kutoka DR Congo akieleza namna Simba ilivyolanda dume kumsajili…

Read More