SMZ yajibu hoja za ACT-Wazalendo kuhusu Kisiwa cha Fungu Mbaraka

Unguja. Wakati ACT- Wazalendo ikidai kuwa, Kisiwa cha Fungu Mbaraka kipo katika mchakato wa kutolewa leseni kwenye vitalu vipya vitano na Serikali ya Tanzania Bara kinyume na utaratibu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema hakuna eneo lolote lililopo Zanzibar litakalotangazwa na mamlaka tofauti. Katika taarifa iliyotolewa na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi,…

Read More

Burkina Faso yachomoa bao ‘jiooni’

Bao la dakika ya 90 lilifungwa na Aboubacar Troure wa Bukina Faso lilizima matumaini ya Harambee ya Kenya kushinda mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi 2025 baada ya kutoka sare ya 1-1 katika pambano kali la michuano hiyo kwenye Uwanja wa Gombani, kisiwani hapa. Mchezo huo ambao ulipigwa juzi usiku na kuhudhuriwa na mashabiki…

Read More

Dkt Kikwete Akoshwa na Ushiriki wa Wadau Binafsi Kwenye Miradi ya Maendeleo, Aipongeza Benki ya NBC.

Rais Mstaafu, Dkt Jakaya Kikwete amepongeza ushirikiano baina ya wadau binafsi na serikali katika kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ile inayohusiana na afya, akibainisha kuwa hatua hiyo ni chachu muhimu zaidi katika kuchochea kasi ya maendeleo nchini. Dkt. Kikwete alitoa pongezi hizo mwisho wa wiki wakati akizindua rasmi Kituo cha Afya cha kisasa cha…

Read More

Utafutaji watoto wa jinsi fulani unavyovuruga familia

Dar es Salaam. Mume amechepuka. Mchepuko ameshika ujauzito, hatimaye mtoto wa kiume amezaliwa. Ni mume wa mke aliyefunga naye pingu za maisha miongo mitatu iliyopita na kujaaliwa watoto wanne wote wa kike. Hatimaye siri imefichuka. Mke na watoto wamejua kwamba baba ana mtoto nje ya ndoa na familia imegeuka tanuru la moto. Mume analaumiwa kwa…

Read More

Udhaifu katika ndoa ni sehemu ya ndoa

Kanada. Kwanza, kila binadamu ana ubora na udhaifu, hata awe mzuri au mbaya kiasi gani. Hivyo, wanandoa wanaposhughulikia ubora au udhaifu wao, wanapaswa kukumbuka kuwa wote ni binadamu wenye mapungufu. Unaweza kuwa msomi mkubwa tu, tajiri, mwelewa si kawaida, mkarimu hata katili vipi, bado una ubora na udhaifu wako. Hivyo, tukubali na tujue haya yanatuhusu…

Read More