Wanne wafariki dunia , 30 wajeruhiwa shambulio Ukraine

Kyiv. Shambulio limefanywa na Jeshi la Russia nchini Ukraine, limeuwa watu wanne wakiwemo watoto wawili na kujeruhi wengine 30. Shambulio kubwa la pamoja likihusisha ndege zisizo na rubani (drone) na makombora limetokea leo, Alhamisi ya Agosti 28, 2025, katika jiji la Kyiv. Shambulio hilo linatajwa kuwa la kwanza kubwa la aina hiyo tangu Rais wa…

Read More

‘Watumia Gmail kaeni chonjo kuna kundi la wadukuzi’

Dar es Salaam. Kampuni ya Google imewataka watumaji wa huduma ya barua pepe ya mtandao ya Gmail kuwa makini kwani kuna kundi la wadukuzi wanaozilenga akaunti hizo, baada ya kufanikiwa kuiba taarifa. Google imesema watumiaji wa huduma hiyo wanaofika zaidi ya bilioni mbili duniani kote wasijibu jumbe zinazowataka kutoa nywila (Password), za akaunti zao. Google…

Read More

Tanganyika Packers yafurika | Mwananchi

Dar es Salaam. Maelfu ya wapenzi, wafuasi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kushiriki uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025. Hadi kufikia saa 8:30 mchana katika viwanja vya Tanganyika Packers,  unapofanyika mkutano huo wa ufunguzi ulikuwa umefurika maelfu ya wananchi. Walinzi wanaosimamia usalama, ilipofika saa 7:16 mchana walizuia watu kuendelea kuingia kwa…

Read More

Jela mitano kwa kuishi kinyumba na mwanafunzi

Maswa. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu kifungo cha miaka mitano gerezani, mkazi wa Kijiji cha Malampaka, Zackaria Shija (38), kwa kosa la kuishi kinyumba  na kumpa ujauzito mwanafunzi mwenye umri wa miaka 20. Hukumu hiyo imetolewa Agosti 27, 2025 na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Aziz Khamis, ambaye amesema mtuhumiwa atahukumiwa kifungo…

Read More

AIRTEL MONEY YAZINDUA “AIRTEL MONEY NI BUREE” NA NI NAFUU” KUONGEZA UHURU WA KUFANYA MIAMALA AIRTEL MONEY

  Dar es Salaam, Agosti 28, 2025 – Airtel Money Tanzania leo imetangaza uzinduzi wa kampeni mbili kabambe maalum kwa wateja wake wa Airtel Money itakayojulikana kama Airtel Money Ni Buree na Ni Nafuu, ikiwa na lengo la kuendelea kutoa uhuru zaidi kwa wateja wote wanaotumia Airtel Money. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika Makao…

Read More

Kampeni ya CCM Kawe yaleta kicheko kwa wauza nyama choma, vyakula

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa chakula, vinywaji baridi, nyama choma, na vitafunwa katika viwanja vya Tanganyika Packers wameeleza kufurahishwa na mauzo mazuri kufuatia umati mkubwa wa watu  uliokusanyika kushuhudia uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam wamefurika katika…

Read More