Timu za misaada zinasema mpango ulipiga ili kufikia Stricken El Fasher – Maswala ya Ulimwenguni

Muhimu ya kuishi katika mji ambao ulizidiwa na wapiganaji wa kijeshi mnamo Oktoba wamekuwa “Imetengwa kabisa”Wabinadamu wa UN walionya Ijumaa. “Kidogo kinachojulikana wakati huu juu ya hali ya sasa katika El Fasher ni kweli zaidi ya kutisha,” Ross Smith, mkurugenzi wa utayari wa dharura na majibu ya mpango wa chakula duniani (WFP). “Tunajua kuwa kuna…

Read More

ROSTAM, TCCIA WAFUNGUA MLANGO MPYA WA MAGEUZI YA BIASHARA NCHINI

:::::::: Wafanyabiashara, wawekezaji na wazalishaji kutoka sekta mbalimbali nchini wanatarajia kunufaika na maboresho mapya ya mazingira ya biashara yanayoandaliwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA). Maboresho hayo yanatajwa kuchochewa na mazungumzo ya kimkakati kati ya Rais wa TCCIA, Bw. Vicent Minja, na mfanyabiashara maarufu nchini, Bw. Rostam Aziz. Katika mazungumzo hayo, wawili…

Read More

AJIRA ZA UMMA SASA KWA UWAZI NA USHINDANI

Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kusimamia mchakato wa upatikanaji wa ajira katika taasisi, idara na mashirika ya umma kwa uwazi, uwajibikaji na kuzingatia ushindani, kama inavyoelekezwa na sera ya ajira nchini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora), Ridhiwani Kikwete, ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na waandishi wa…

Read More

BODI YA USIMAMIZI WA STAKABADHI ZA GHALA YAZINDULIWA DODOMA

NAIBU Waziri wa Kilimo. Mhe. David Silinde (Mb) amesema Wizara ya Kilimo inaamini katika Mfumo wa Stakabadhi Ghalani, na kuhakikisha mfumo huo unaleta manufaa zaidi kwa wakulima katika kuuza mazao yao. Mhe. Silinde amesema hayo tarehe 12 Desemba 2025, jijini Dodoma, alivyohudhuria katika Hafla ya Uzinduzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala uliozinduliwa…

Read More

Makazi ya Watu wa Sindh yanafafanua mafanikio ya marekebisho ya baada ya janga-maswala ya ulimwengu

Familia inaleta mbele ya nyumba yao kujengwa tena kama sehemu ya makazi ya watu wa Sindh kwa mafuriko ya mafuriko (SPHF). Katika COP30 mradi huo ulionyeshwa kwa mafanikio yake makubwa katika kuwawezesha wanawake katika kurudisha tena familia za mafuriko yaliyoharibiwa 2022. Mikopo: SPHF na Cecilia Russell (Belém, Brazil) Ijumaa, Desemba 12, 2025 Huduma ya waandishi…

Read More

UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA MAFUNZO YA KUONGEZA THAMANI MADINI YA VITO WAANZA JIJINI ARUSHA

  ■ Ni mkakati wa kuhakikisha madini vito yanaongezewa thamani nchini. ■Ni utekelezaji wa maelekezo ya Rais.Dkt. Samia katika kuendeleza mnyororo wa madini thamani. ■Waziri Mavunde amtaka mkandarasi kuongeza nguvukazi kukamilisha mradi kwa wakati. ▪️Atoa siku 7 kwa Katibu Mkuu kukutana na wakandarasi,TGC na Taasisi za serikali kwa ajili ya upatikanaji vibali muhimu vya kuendeleza…

Read More

Kalamba Games Yafungua Milango ya Burudani Meridianbet

KUNA wakati mchezo wa sloti unageuka kutoka burudani ya kawaida na kuwa safari, na safari hiyo inaanza leo pale Meridianbet kupitia ujio wa Kalamba Games. Hawa ni wabunifu ambao hawafanyi michezo tu, wanaumba ulimwengu unaojengwa kwa muonekano mzuri, mwendo laini na ubunifu unaokusukuma kutaka kuendelea kucheza. Kwa kila mchezo wanaotoa, wanaongeza viwango vipya vya msisimko kwenye jukwaa la…

Read More

Ijumaa ya Kibingwa Imefika Ndani ya Meridianbet

SIKU ya leo unaweza kuanza Wikendi yako vyema kabisa kwa kubashiri mechi zote hapa na Meridianbet. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo kwaajili yako leo. LALIGA kutakuwa na mechi moja ya kubashiri ambapo Real Sociedad atakipiga dhidi ya Girona ambao mechi ya mwisho kukutana, mgeni alipoteza hivyo leo hii anataka kulipa kisasi akiwa…

Read More