Dk Mpango aipongeza CRDB kuwezesha wananchi kiuchumi
Buhigwe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Philip Mpango, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha huduma za kifedha nchini, hatua inayowezesha wananchi wengi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi. Akizindua rasmi tawi jipya la benki hiyo leo Agosti 27,2025 wilayani Buhigwe, Dk Mpango amesema hatua ya benki…