Puma Energy Tanzania Yashauri SOEs Kuboresha Utendaji Na Huduma – Global Publishers
Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Bi. Fatma M. Abdallah, aliwasilisha mada kwa Wenyeviti wa Bodi na Wakurugenzi Wakuu wa Taasisi za Umma. Katika wasilisho lake, Bi. Abdallah aliwataka SOEs kuachana na urasimu na kuzingatia mbinu bunifu za kisasa ambazo zitarahisisha taratibu za kiutendaji na kuharakisha utoaji wa huduma muhimu kwa wananchi….