CCM Yatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu ya Dk. Hussein Mwinyi – Global Publishers
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kuchukua fomu ya kuteuliwa kugombea nafasi hiyo katika Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) mnamo Agosti 30, 2025. Hayo yalisemwa jana mjini Unguja na Katibu wa NEC, Idara…