WADAU WATAKIWA KUZITUMIA KWA USAHIHI TAARIFA ZA HALI YA HEWA
Afisa Mwandamizi ICPAC ambaye ni Mtaalamu anayesimamia nchi kumi na moja Afrika anayeangalia matumizi ya taarifa za hali ya hewa Collision Lore akizungumza katika warsha ya siku tano iliyoandaliwa na kituo cha Utabiri wa Hali ya Hewa na Maombi cha IGAD (ICPAC) inayofanyika katika Kaunti ya Nakuru,Mji wa Naivasha Mkoani Kenya, ……………… NA MUSSA KHALID NAIVASHA,KENYA…