Meridianbet Yagawa Vifaa Kinga kwa Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi – Global Publishers
Ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuchangia maendeleo ya jamii, kampuni ya Meridianbet imeonesha moyo wa huruma kwa kugawa vifaa kinga kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), ikiwa ni hatua ya kuwalinda dhidi ya athari kali za jua. Katika tukio lililofanyika jijini Dar es Salaam, Meridianbet ilitoa kofia zenye ubora…