Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Year: 2025

  • Home
  • 2025
  • Page 29
Habari

Mwili wa Elias Goroi waagwa, kuzikwa kesho Samunge

July 13, 2025 Admin

Arusha. Wakuu watatu wa wilaya wastaafu wameungana na wakazi wa Wilaya ya Arumeru na maeneo jirani kuuga mwili wa aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya mbalimbali

Read More
Habari

Nimca kuwatunuku tuzo Mwinyi, Nyerere

July 13, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mtandao wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika (Nimca) unatarajia kuwatunuku tuzo maalumu marais wastaafu wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere na Ali Hassan

Read More
Habari

Rais wa zamani Nigeria afariki dunia

July 13, 2025 Admin

Lagos, Nigeria.  Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammed Buhari, amefariki dunia leo Julai 13, 2025 wakati akipatiwa matibabu jijini London. Buhari aliyeiongoza Nigeria mara mbili

Read More
Habari

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

July 13, 2025 Admin

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee

Read More
Habari

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

July 13, 2025 Admin

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee

Read More
Habari

Wafanyabiashara waliounguliwa soko Iringa waiangukia Serikali

July 13, 2025 Admin

‎Iringa. Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu katika Manispaa ya Iringa, ambao mali zao ziliungua usiku wa kuamkia Julai 12, 2025 wameiomba Serikali iwasaidie warejee

Read More
Habari

Serikali yakumbushwa kuwashirikisha wasichana athari mabadiliko ya tabianchi

July 13, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali imekumbushwa kuhakikisha watoto wa kike wanapewa nafasi ya kushiriki kikamilifu katika mikakati ya kupambana na mabadiliko ya tabianchi, kwani wao ni

Read More
Habari

Majambazi Kigoma ‘wambipu’ Sirro, wateka basi la abiria

July 13, 2025 Admin

Kigoma. Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha, wamewapora na kuwajeruhi baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Kigoma kwenda jijini Mwanza. Tukio hilo limetokea

Read More
Habari

Polepole alivyojiuzulu ubalozi, CCM yatia neno

July 13, 2025 Admin

Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole amemwandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan ya kujiuzulu nafasi hiyo kwa sababu ya kile alichoeleza

Read More
Habari

CCM waanza mchakato uteuzi ngazi ya Taifa

July 13, 2025 Admin

Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuanza rasmi mchakato wa uteuzi wa wagombea ubunge katika ngazi ya Taifa, kikiwataka wote watakaokosa nafasi kuwa watulivu, waaminifu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 28 29 30 … 1,435 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.