Ulimwengu akumbushia sakata lake, Balozi Bandora kuvuliwa uraia

Dar es Salaam. Mwandishi wa habari mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu amekumbushia namna yeye na wenzake wanne, akiwemo Balozi Timothy Bandora, walivyovuliwa uraia wa Tanzania na utawala wa awamu ya tatu. Ulimwengu amesema hayo leo Desemba 16, 2025 wakati wa mazishi ya mwanadiplomasia mkongwe nchini, Balozi Bandora ambayo yamefanyika jijini Dar es Salaam. Bandora alifariki dunia…

Read More

Wanawake vinara ufaulu ARU, 2024/2025

Dar es Salaam. Jumla ya wanafunzi 115  waliofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali   kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), wametunukiwa tuzo na zawadi  huku asilimia 60 walioongoza wakiwa ni wanawake. Hayo yamesemwa leo Jumanne Desemba 16, 2025 na Makamu Mkuu wa  Chuo hicho, Profesa Evaristo Liwa kwenye sherehe za utoaji wa…

Read More

Hersi afafanua ukweli ulivyo madai ya kuishambulia Simba

BAADHI ya mashabiki wa Simba wanalia juu ya uwasilishaji uliofanywa na Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Chama cha Klabu za Soka Afrika (ACA), Injinia Hersi Said kwenye kongamano la soka lililoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la  Kimataifa (FIFA) wakidai bosi huyo aliwamaliza, lakini mwenyewe ametoa ufafanuzi. Akizungumza na Mwanaspoti akiwa Qatar kulikofanyika…

Read More

Beki achomolewa mapema kikosini Yanga

MIGUEL Gamondi yupo Misri kwa sasa akikinoa kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinachojiandaa na fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, lakini huku nyuma jamaa ametoa maagizo kwa mabosi wa Singida Black Stars anayoinoa kuchomoa mtu pale Yanga. Taarifa kutoka Singida zinasema kuwa, mabosi wa klabu…

Read More

DPP amfutia kesi ya uhaini Irene na kumwachia huru

Dar es salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Irene Mabeche (58) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya Uhaini, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yake.‎ ‎Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Hassan Makube, baada ya wakili wa…

Read More

Waliopata maafa ya mvua Kahama kupatiwa misaada ya kibinadamu

Shinyanga. Kufuatia nyumba zaidi ya 200 ikiwemo zahanati ya kijiji cha Mwanase Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kubomolewa na mvua usiku wa kuamkia Desemba 13,2025, Serikali mkoani humo imeielekeza Halmashauri ya Msalala kufikisha mara moja misaada ya kibinadamu katika eneo hilo. Mvua hizo zilisababisha kuezuliwa kwa mapaa katika nyumba 127 huku nyumba 80 zikibomoka kabisa…

Read More