Wananchi Shinyanga walia ajali za barabarani
Shinyanga. Wananchi wa Kata ya Itwangi, Halimashauri ya Wilaya ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, wameiomba Serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya eneo hilo kufuatia wimbi la ajali zinazodaiwa kusababisha vifo vya watu, wakiwemo wanafunzi. Wananchi hao wamesema ajali zimekuwa zikijirudia mara kwa mara kutokana na madereva kuendesha kwa mwendo kasi na kutokuheshimu alama pamoja na…