CHAN 2024: Sudan, Algeria vita ilikuwa kati

WANAUME 22 kutoka Sudan na Algeria, walizimwagilia vizuri nyasi za Uwanja wa Amaan Complex, visiwani Zanzibar katika mchezo wa robo fainali wa michuano ya CHAN uliopigwa juzi. Katika mchezo huo ambao dakika 120 zilimalizika kwa timu zote kutoshana nguvu ya kufungana bao 1-1, vita kubwa ilionekana eneo la kati ambalo kwa kiasi kikubwa liliamua mechi…

Read More

Watano Yanga wapewa siku saba

KAMBI ya Yanga imezidi kunoga kule Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam, lakini jana ilikuwa katika mapumziko flani mafupi na kazi itaendelea leo Jumatatu, huku kocha wa timu hiyo, Romain Folz akitoa msimamo mzito ambao mabosi wa klabu wameafikiana nayo. Yanga iliamua kuahirisha…

Read More

Jinsi vitendo vya huruma vinavyowasha njia ya uponyaji – maswala ya ulimwengu

Safari yake katika kazi ya kibinadamu ilianza baada ya miaka ya kutumikia hospitalini huko Aden, ambapo alishuhudia mwenyewe mapambano ambayo jamii zilizo hatarini zinakabili katika kupata huduma za afya. “Katika Aden, nilifanya kazi katika hospitali ya kibinafsi,” alikumbuka. “Niligundua kuwa watu wengi hawawezi kumudu matibabu. Ukweli huo ulinisukuma kutafuta njia ya kusaidia wale waliobaki.” Aliamua…

Read More

Sasisho la kibinadamu la Gaza, mauaji zaidi huko Sudani, na kumaliza kutokujali nchini Myanmar – Maswala ya Ulimwenguni

Migomo mingi mara moja hadi Ijumaa iliripotiwa katika Jabalya al Balad na vitongoji vya Nazla, Ofisi ya UN kwa Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (Ocha) alisema katika yake Sasisho la hivi karibuni. Kama matokeo, karibu watu 900 waliripotiwa kukimbia kuelekea kitongoji cha Sheikh Radwan na Jiji la Gaza Magharibi. Kifungu salama, misaada zaidi UN na…

Read More

Kuongezeka kwa ukosefu wa usalama katika Mashariki inazuia maendeleo ya kidiplomasia, Baraza la Usalama linasikia – maswala ya ulimwengu

Licha ya maendeleo ya kidiplomasia katika miezi ya hivi karibuni, na Merika ikifanya makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda, na Qatar kuwezesha tamko la kanuni kati ya serikali ya Kongo na waasi wa M23, mvutano unabaki juu katika DRC ya Mashariki – ambapo vikundi vingi vya silaha vinafanya kazi. Baraza la Usalama pia…

Read More

CCM yamteua Kirumbe Naibu Katibu Mkuu Wazazi

Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Mjini aliyemaliza muda wake, Kirumbe Ng’enda ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Ng’enda anaukwaa wadhifa huo, akimrithi Mirumbe Chacha kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa chama hicho. Taarifa ya uteuzi wa Ng’enda inakuja siku moja baada ya jina lake…

Read More

Chaumma yateua wagombea ubunge, yakacha urais Z’bar

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimetangaza kuwa hakitasimamisha mgombea wa urais visiwani Zanzibar, huku kikiweka hadharani awamu ya kwanza ya orodha ya makada wake 119 walioteuliwa kugombea ubunge wa majimbo Tanzania Bara. Uamuzi wa Chaumma kutosimamisha mgombea Zanzibar unakuja katikati ya maswali mengi ya wadau wa siasa, waliohoji ni nani atakayepewa…

Read More

Mchinjita achukua fomu Lindi Mjini, ataka hadhi ya Bunge

Lindi. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha  ACT Wazalendo ( Bara), Isihaka Mchinjita amechukua fomu ya kuwania ubunge Lindi Mjini, akiainisha vipaumbele vyake atakavyovitekeleza endapo ataibuka kidedea. Miongoni mwa vipaumbele hivyo ni kuhakikisha anapambania kurejesha Bunge lenye hadhi ikiwamo kuhakikisha mijadala yote muhimu inayogusa Watanzania na Taifa inajadiliwa katika mhimili huo, na sio kwenye mitandao ya…

Read More