
DC aagiza gereza kuanzisha miradi ya kujitegemea
Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vicent Naano, amelitaka Gereza la Maswa kuanzisha miradi mbalimbali ya uzalishaji mali ili liweze kujitegemea na kupunguza utegemezi kwa Serikali. Dk Naano ametoa maagizo hayo leo Jumapili, Agosti 24,2025 kwa mkuu wa gereza hilo, Mrakibu wa Magereza, Omari Mbwambo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 64…