MUHIMBILI YAANDIKA REKODI YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI, WATOTO 103 WAPANDIKIZWA VIFAA VYA KUSAIDIA KUSIKIA
Katika kutekeleza azma ya mageuzi katika sekta ya afya nchini, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Afrika Mashariki kufanikisha upandikizaji wa vifaa vya kusaidia kusikia (cochlear implant) kwa watoto 103 ambapo hatua hiyo imeshuhudiwa leo Septemba 29, 2025, baada zoezi la vifaa 16 kuwashwa rasmi kwa watoto waliokuwa wakisumbuliwa…