DC aagiza gereza kuanzisha miradi ya kujitegemea

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vicent Naano, amelitaka Gereza la Maswa kuanzisha miradi mbalimbali ya uzalishaji mali ili liweze kujitegemea na kupunguza utegemezi kwa Serikali. Dk Naano ametoa  maagizo hayo leo Jumapili, Agosti 24,2025  kwa mkuu wa gereza hilo, Mrakibu wa Magereza, Omari Mbwambo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 64…

Read More

FBSS, Lulanzi mabingwa Inter School Sports Bonanza

Timu ya mpira wa kikapu ya FBSS na ile ya soka ya Lulanzi zimetawazwa kuwa mabingwa katika mashindano ya 13 ya Inter School Sports Bonanza. Mashindano hayo yaliyofanyika Agosti 22, 2025 yalifanyika kwenye viwanja vya Filbert Bayi, mjini Kibaha yakishirikisha shule za Filbert Bayi (FBS) na shule jirani ikiwamo ya Lulanzi, Mkuza na Mwanalugali. Katika…

Read More

Dk Mpango: Dhibitini ubadhirifu wa mali za umma

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewaagiza wenyeviti wa bodi na watendaji wakuu wa taasisi na mashirika ya umma nchini, kudhibiti upotevu na ubadhirifu wa rasilimali za umma pamoja na kuimarisha usimamizi wa mikataba ili kuunda mazingira ya ushindani. Dk Mpango ametoa maagizo hayo leo Jumapili Agosti 24, 2025, kwa niaba ya Rais Samia…

Read More

Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi

Arusha. Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma, kilichofunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, jijini Arusha,…

Read More

COPRA YATOA UFAFANUZI WA MWENENDO WA SOKO LA MBAAZI DUNIANI

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa Tanzania. Mkurugenzi Mkuu wa COPRA, Bi. Irene Mlola, amesema kuwa licha ya kushuka kwa bei ya mbaazi katika soko la kimataifa, wakulima wa Tanzania bado wananufaika…

Read More

WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA

Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki, Makamu wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) pembezoni mwa Mkutano wa Tisa wa TICAD uliofanyika jijini Yokohama. Mheshimiwa Waziri Kombo amepongeza ushirikiano wa Tanzania na Japan kupitia JICA…

Read More

CHAN 2024: Staa Kenya ajifariji

NDOTO ya Kenya kwenye mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2024 imeishia hatua ya robo fainali, lakini kiungo Alpha Onyango ametoa matumaini kwa mashabiki wa timu hiyo. Onyango alibeba tuzo ya mchezaji bora wa mechi ya robo fainali dhidi ya Madagascar na kupoteza kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya sare…

Read More

Taji la 2025 ni mbio za farasi wawili

MBIO za kusaka taji la ubingwa wa Taifa wa mbio za magari zimezidi kupata sura mpya baada ya bingwa mtetezi, Manveer Birdi kurudi upya na kutishia uongozi wa dereva kutoka Arusha, Gurpal Sandhu. Sandhu ambaye alikuwa mbele ya Manveer Birdi kwa pointi 21 kabla ya kwenda Morogoro alikuwa akiongoza kwa pointi 56, huku Birdi na…

Read More