
Dereva wa kampuni ya ujenzi afariki dunia gari ikipinduka, konda wake ajeruhiwa
Pemba. Dereva wa gari la kubebe na kuchanganya zege la kampuni ya IRIS inayotengeneza barabara Pemba, Nassor Fatawi Iddi (25) mkazi wa Machomanne amefariki dunia huku Msaidizi wake Atanas Joseph akinusurika baada ya gari lao kupinduka Mkoa wa Kusini Pemba. Ajali hiyo imetokea mita 15 baada ya kuvuka daraja upande wa Chakechake Kusini Pemba. Kaimu…