Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama Cycling Tour 2025 umeanza rasmi Julai 3, 2025, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya 180 wakiwa njiani kuelekea Butiama.
Year: 2025

Busega. Chama cha ACT Wazalendo, kimeweka wazi msimamo wake kuwa, harakati na mikakati kinayoifanya hailengi kupambania nafasi ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini, bali

-Mifugo 400 yachanjwa na kutambuliwa Mkoani Manyara. -Wafugaji wamshukuru Dkt. Samia kwa Ruzuku ya Chanjo za Mifugo. Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza

Rukwa/ Simiyu . Chama ACT Wazalendo, kimesema kutokea kwa matukio kama la kupigwa hadi kuuawa kwa kijana Enock Mhangwa mkoani Geita, ni matokeo ya kuporomoka

Bukombe. “Mama nimepigwa sana… mama nisaidie, sijaleta vitu, nimekuja mama yangu unisaidie, nakufa nisaidie.” Hayo yalikuwa maneno ya mwisho ya Enock Mhangwa (25), mkazi wa

::::::::::: Naibu Katibu Mkuu Huduma za Hazina Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Omolo ametembelea banda la Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) katika

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka watendaji wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kujenga tabia ya kutembelea maeneo ya kazi ili kuona

Dar es Salaam. Katika kuunga mkono mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, Umoja wa Ulaya (EU) umetoa magari mawili kwa ajili

Baada ya bao la tatu la Fountain Gate lililofungwa dakika ya 82 na Mudrick Gonda katika mechi ya play off ya kwanza, mashabiki wa Stand

Mashambulio mengi katika siku za hivi karibuni yamewauwa na kujeruhi idadi ya Wapalestina kwenye tovuti zinazowakaribisha watu waliohamishwa na wengine kujaribu kupata vifaa muhimu, kulingana