Kimbembe cha usafiri | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya Desemba kuwa na historia ya changamoto ya usafiri kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani, mwaka huu imekuwa zaidi ya kawaida, kwani idadi kubwa ya abiria imeshuhudiwa, huku baadhi wakikwama kusafiri. Kwa mujibu wa watoa huduma za usafiri wa mikoani, idadi ya abiria wanaosafiri sasa kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani…

Read More

‘Kuna watu wanaishi kwa wasiwasi’

Mwanza. Wakati madiwani wa Manispaa ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza wakimchagua Sara N’ghwani kuwa Meya na Kurthum Abdallah kuwa Naibu Meya, viongozi hao wamesisitiza umuhimu wa kuwa na amani wakisema mpaka sasa kuna watu wanaishi kwa wasiwasi. Wilaya ya Ilemela ni miongoni mwa maeneo yaliyokumbwa na maandamano yaliyozaa vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu…

Read More

Kauli ya Niffer baada ya siku 38 mahabusu

Dar es Salaam. Mfanyabiashara wa vipodozi, Jenifer Jovin, maarufu Niffer, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya uhaini, ameachiwa huru baada ya kusota mahabusu kwa siku 38 akieleza aliyoyaona gerezani, hajihusishi na siasa na hana chama. Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kuachiwa huru amesema: “Kwanza namshukuru Mungu kwa siku ya leo, ni siku…

Read More

Pedro aachiwa zigo la Conte

KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kushuka uwanjani leo kuvaana na Fountain Gate, lakini mapema mabosi wameamua kumuachia msala kocha Pedro Goncavales kuhusu kiungo mkabaji, Moussa Balla Conte wakimtaka asake mbadala wake kupitia dirisha dogo. Mabosi wa Yanga ni kama hawajaridhishwa na uwezo wa Conte waliyemsajili kwa mbwembwe kutoka CS Sfaxien ya Tunisia na sasa wamemtaka Pedro…

Read More

‘Raia waliuawa, wengine walikatwa kichwa’ – maswala ya ulimwengu

Ripoti za wakala Kwamba karibu 100,000 wamehamishwa hivi karibuni katika wiki mbili zilizopita pekee, kufuatia shambulio lililozidi kuongezeka kwa vijiji na spillover ya haraka ya vurugu katika wilaya salama za hapo awali. Akiongea kutoka kwa erati iliyojaa migogoro kaskazini mwa Msumbiji, Xavier Creach alionyesha wasiwasi juu ya mashambulio na kutoweza kujibu vya kutosha. “Mashambulio haya…

Read More

Mayanga: Mechi mfululizo zimetuponza | Mwanaspoti

MASHUJAA imetoka sare ya pili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na Coastal Union na kukata wimbi la ushindi kwa timu hiyo na kocha Salum Mayanga amefichua kilichowaponza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma. Timu hiyo imecheza mechi nne mfululizo na kushinda mbili dhidi ya Namungo na Mbeya City…

Read More

Tutuba: Wahasibu nguzo muhimu kufanikisha dira 2050

Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amewataka wahasibu na wakaguzi wa hesabu nchini kuchukua nafasi ya kipekee katika kuiwezesha Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ya kujenga uchumi wa dola trilioni moja, akisema taaluma ya uhasibu kisasa ndiyo injini ya uendelevu, uwajibikaji na ushindani wa…

Read More

Meya Uzairu aahidi Temeke ya viwango

Dar es Salaam. Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Temeke leo Jumatano, Desemba 3, 2025 limekutana kwa mara ya kwanza na kuunda rasmi safu yake ya uongozi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Kikao hicho pia kumeshuhudiwa uchaguzi wa viongozi wakuu wa baraza hilo ambapo Uzairu Athumani amechaguliwa kuwa Meya na Nuru Cassian kuwa Naibu…

Read More