Hatima ya watumishi 108 mikononi mwa Tume ya Utumishi wa Umma
Dodoma. Jumla ya rufaa na malalamiko 108 yanatarajiwa kusikilizwa na kutolewa uamuzi na Tume ya Utumishi wa Umma kwa muda wa siku 19 kuanzia Septemba 29, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Septemba 26, 2025 jijini Dodoma, Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, John Mbisso amesema tume itakutana kujadili rufaa na…