Kenya yatupwa nje CHAN 2024
TIMU ya Taifa la Madagsacar imeweka rekodi kwa kuwa ya kwanza kutinga nusu fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kuifunga Kenya ‘Harambee Stars’ kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 120 kwenye Uwanja wa Kimataifa wa michezo wa Moi, Nairobi. Kenya ilianza mechi hiyo kwa…