Uchaguzi Malawi unavyoacha somo kwa mataifa ya Afrika

Dar es Salaam. Demokrasia ya Malawi imepiga hatua. Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na namna nchi hiyo imekuwa ikisimamia na kuratibu chaguzi zake kwa kuwapa wananchi uhuru na haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka na viongozi kuachiana kijiti bila mivutano. Tangu taifa hilo limepata uhuru wake mwaka 1964, limekuwa likibadilisha viongozi kupitia chaguzi za kidemokrasia ambapo…

Read More

Tanzania yasisitiza utatuzi wa migogoro dunaini

New York. Tanzania imelaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa, hali inayochochea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro. Imeeleza kuwa mwenendo huo si tu unadhoofisha juhudi za kimataifa za kudumisha amani na usalama, bali pia unahatarisha maisha ya raia wasio na hatia katika maeneo ya migogoro. Pia, imesisitiza kuwa matumizi ya…

Read More

Ecobank Tanzania Yazindua Toleo Jipya la ‘Ellevate’ kwa Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

 Ecobank Tanzania imezindua rasmi toleo lililoboreshwa la mpango wake wa “Ellevate by Ecobank”, likiwa na lengo la kuharakisha ujumuishaji wa kifedha na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wajasiriamali.. Awali, Ellevate ilianzishwa kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs) zinazoongozwa au kumilikiwa na wanawake. Hata hivyo, mpango huu sasa umeboreshwa na kupanuliwa ili kuwafikia wanawake katika…

Read More

Bolt Tanzania Yagawa Discount Inayoitwa “BOLTXSIMBU” Kusherehekea Medali ya Kwanza ya Dhahabu ya Tanzania.

Bolt Tanzania kwa fahari inatangaza kuzindua nambari mpya ya punguzo, SIMBU, kwa heshima ya Alphonce Felix Simbu, aliyefanya historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha. Ushindi wa Simbu umeiweka Tanzania kwenye ramani ya riadha ya kimataifa, sambamba na mataifa yenye nguvu kama Kenya. Huu si ushindi…

Read More

Palestina yabakiza ngazi moja kuwa taifa huru

New York. Upatikanaji wa taifa huru la Palestina umebakiza ngazi moja, baada ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha kwa kura nyingi ‘Azimio la New York’ linalofufua suluhisho la mgogoro wa mataifa mawili – Israel na Palestina. Mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933, ndio unaelekeza vigezo vya kutambua taifa huru chini ya sheria ya…

Read More

Mashabiki Simba waibeba adhabu ya CAF

SIMBA inajiandaa kushuka uwanjani keshokutwa dhidi ya Gaborone United ya Botswana katika pambano la marudiano ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika bila mashabiki kutokana na adhabu iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Simba imeadhibiwa na CAF kutokana na matukio ya fujo zilizofanywa kwenye mechi za msimu uliopita za Kombe la Shirikisho…

Read More

Simba yalia na mashabiki, yafafanua adhabu ya CAF

Wakati ikijiandaa kucheza bila mashabiki katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Jumapili, Septemba, 29, 2025 na faini ya Dola 50,000 (Sh123 milioni), Simba imekutana na adhabu mpya kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Adhabu hiyo mpya ni ya faini ya Dola 30,000 (Sh74 milioni) kutokana na…

Read More