Vijana Mara wafunzwa kujikwamua kiuchumi

Musoma. Baadhi ya vijana katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamesema licha ya kuelezwa juu ya uwepo wa fursa nyingi za kiuchumi bado wanakabiliwa na ukosefu wa elimu na namna ya kuzitumia, ili ziweze kuwanufaisha na kuwakwamua kiuchumi. Vijana hao wameyasema hayo leo Jumanne Desemba 16, 2025 mjini Musoma wakati wa kongamano la mabadiliko ya…

Read More

ARURA YAWATAKA WAKAZI WA MANISPAA YA MOROGORO KUACHA KUTUPA TAKA KWENYE MIFEREJI

Farida Mangube, Morogoro. Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Ndyamukama  ametoa wito kwa wakazi wa Manispaa ya Morogoro, hususani wafanyabiashara, kuacha mara moja tabia ya kutupa taka kwenye mifereji ya maji, akisema kuwa kitendo hicho kinahatarisha usalama wa miundombinu na maisha ya wananchi hasa tunapoelekea kwenye…

Read More

Offshore, Off Course – Masuala ya Ulimwenguni

Msukumo wa Ulaya wa kuhamisha taratibu za hifadhi kwa nchi za tatu unahatarisha sio tu wakimbizi, bali pia wajibu wake wa kimaadili na kisiasa. Maoni na Judith Kohlenberger (Vienna, Austria) Jumanne, Desemba 16, 2025 Inter Press Service VIENNA, Austria, Desemba 16 (IPS) – Mjadala wa kuleta mageuzi katika mfumo wa hifadhi ya Ulaya umepata kasi…

Read More

Mamia wajitokeza maziko ya Jenista, Dk Nchimbi akiongoza

Ruvuma. Mamia ya watu wamejitokeza katika kijiji cha Luanda kilichopo Halmashauri ya Mbinga mkoani Ruvuma, kwa ajili ya kuhitimisha safari ya mwisho ya aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama. Jenista ambaye amekuwa mbunge wa Peramiho kuanzia mwaka 2005, alifariki dunia Alhamisi, Desemba 11, 2025 jijini Dodoma, kwa matatizo ya ugonjwa wa moyo. Katika maziko…

Read More