Tumaini jipya elimu kuoanishwa Afrika Mashariki
Dar es Salaam. Wahitimu wa Kitanzania, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakikabiliana na changamoto ya ajira, sasa wanaweza kuzitafuta Kenya,Uganda au kwingineko Afrika Mashariki kutokana na kuwekwa mfumo wa pamoja wa mikopo na vigezo vya pamoja vya masomo. Vivyo hivyo, mwanafunzi aliye katikati ya muhula wa masomo Tanzania anaweza kuhamia chuo kikuu nchini Rwanda au…